MwanazuoniMJ
Member
- Nov 28, 2012
- 66
- 30
Habari zenu kwa wale ambao tumechaguliwa kwa fani ambzo zipo chini ya COICT UDSM, shule imeshaanza na ratiba ya vipindi inapatikana shuleni kijitonyama usiifuatae ratiba ambayo inauzwa stationery za main campus kwa sababu ni ya mwaka jana na masomo yamebadilika pia module codes zimebadilika.