COET or DIT

COET or DIT

Waja ambao hawakupita COET. wanatema Nyongo zao hapa.
😂😂😂😂😂😂😂
 
Kama unataka cheti nenda UDSM...ila kama unataka ujuzi nenda DIT....Ukiingia DIT utakutana na watu wamemaliza diploma za engineering wako very competent technically..ila UDSM asilimia kubwa wote ni fresh from A-level
 
Kama unataka kuwa fundi mchundo nenda DIT,ila kama unataka kuwa Engineer nenda udsm.
 
Back
Top Bottom