Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,343
- 105,173
Imekuwaje hapo, naona muanzilishi halisi wa hiyo post ni huyo Utopolo.GENTAMYCINE hapa sijakuelewa aanzishe uzi mwingine afu wewe umetoa maelezo ya uzi 🤣🤣
View attachment 2179410
Imekuwaje hapo, naona muanzilishi halisi wa hiyo post ni huyo Utopolo.GENTAMYCINE hapa sijakuelewa aanzishe uzi mwingine afu wewe umetoa maelezo ya uzi 🤣🤣
View attachment 2179410
Ahaa nilitaka kushangaa inakuwaje Simba anashinda bila kupatikana kwa kadi nyekunduIlikuwepo , unataka kuifuta?
Endelea kushangaa.Ahaa nilitaka kushangaa inakuwaje Simba anashinda bila kupatikana kwa kadi nyekundu
Hapo sasa ndio anatakiwa mtu kama Adebayo au Moses Phiri.Simba tunatengeneza nafasi nyingi sana za kufunga kuliko timu yoyote ligi kuu isipokua tatizo ni uwiano wa kuzi convert kuwa magoli ndio inakua mtihani
Ngoja aje akujibu shomboHuwa tunamwambia huyu punguani hana haja ya kuwa na IDs 100. u jobless wake angetumia kutafuta fursa
Yaani tafsiri yake ya goal kick ndio iliyo tuacha vinywa wazi🤣🤣🤣🤣
Hawa marefa wetu AFCON na Word Cup final watazichezeshea kwenye screen za TV pekee. Sasa hapo Goalkick imetoka wapi? Ni labda goal au mpira ungeendelea kuchezwa kama mpira haukuvuka mstari wa goli
Kuna movie, jamaa alitumwa kazi ya kuua mtu akakuta huyo jamaa pia mkali saaana! Ukatembea mkono wa hatari jamaa akasepa safely!Bahati,yenu
Mimi mwenyewe mtu wa shombo mbaya. nimemsaidia kujua tu FORTALEZA otherwise GENTA hana hadhi ya kujibiwa na mimi,mpaka pale atakapoanza kumeza dawa za MilembeNgoja aje akujibu shombo
Kwahiyo ulitaka tupate Green card kama za Mataga pale Lumumba?Bila redcard makolo hamtoboi
Daaaah pale cjaelewa kbsa duuh hawa marefa wa kibongo mtihani sana🤣🤣🤣🤣
Hawa marefa wetu AFCON na Word Cup final watazichezeshea kwenye screen za TV pekee. Sasa hapo Goalkick imetoka wapi? Ni labda goal au mpira ungeendelea kuchezwa kama mpira haukuvuka mstari wa goli
Unataka watembee na meza yao na siyo hiyo ya Mkwakwani, Tanga.Mngekuwa na akili hizo, mngekuwa na akili ya kujiongeza na siyo hiviView attachment 2179258
Utopolo wa kuhurumiwa Tena ile ilikuaPale Chamazi jana nahisi hakukuwa na msaada tutani (Penati) kuokota zile pointi tatu.
Ule msaada tutani (penalt) pale Chamazi haukufanikisha tobo la pointi 3? Au unalipwa kujaza upuuzi hapa. Mtu acheze ujinga apewe green cardBila redcard makolo hamtoboi
Umeandika nini na weweImekuwqje hapo, naona muanzilishi halisi wa hiyo post ni huyo itopolo