Wana umakini mdogo sana, hili ndio tatizo kubwa.Daaaah pale cjaelewa kbsa duuh hawa marefa wa kibongo mtihani sana
Wana umakini mdogo sana, hili ndio tatizo kubwa.Daaaah pale cjaelewa kbsa duuh hawa marefa wa kibongo mtihani sana
Ni kweli maana msako wetu lazima uchanganyikiwe ufanye faulo za kizembeYaani Makolo wamalize mechi bila timu pinzani kupewa red card, haitokaa itokee
Timu yenu inahitaji maboresho Sana kwenye midfield na beki, mmecheza hivyo Sana, Coast wamewazidi mbali.Ni kweli maana msako wetu lazima uchanganyikiwe ufanye faulo za kizembe
Halafu hii??Utopolo wa kuhurumiwa Tena ile ilikua
Peanut ya kuumangia ubwabwa
Siyo Penalty!
Mugalu apewe bublish za kutosha
Uto bila penalti?Bila redcard makolo hamtoboi
Una Imani Kali na nimeionaUsije ukakimbia hapa...subiri dakika ya mwisho na ya nyongeza, ndio uzungumzee
Sawa Sasa ili kuwakomesha saga chupa unyweCoast wapuuzi
Ameshajua kifuatacho ni kuachwa,Hamna mkuu, naona siku hizi ni kama amejirekebisha
Kwakweli ile ni peanut. Ingekuwa Simba wiki nzima hii mitandaoni na wachambuzi wa bahasha wangechambua hilo tuta la Chamazi na refarii kuitwa wa mchongo.Utopolo wa kuhurumiwa Tena ile ilikua
Peanut ya kuumangia ubwabwa
Siyo Penalty!
Timu yenu inahitaji maboresho Sana kwenye midfield na beki, mmecheza hivyo Sana, Coast wamewazidi mbali.Ni kweli maana msako wetu lazima uchanganyikiwe ufanye faulo za kizembe
Subirini tuje tuwahenyeshe wazee wenu kina Saido, bangala na Aucho, tulicheza na nyinyi game ya kwanza tukiwa na majeruhi wengi na bila muunganiko wa kikosi subirini muone Simba anavyocheza kijihadi match muhimu.Kwa hili pila gimbi tar 30 hawachomoki hawa.
Na kama wanategemea tugoli twa bahati kama haka ka leo aisee maji wataita mma hiyo siku.
Hatuna beki mbovu kama coastal.