CNN yamfuta kazi mwandishi wa habari mweusi baada ya kuikosoa Israel

Makampuni makubwa duniani/Marekani ama yanamilikiwa ama kuendeshwa na Wayahudi (CNN.. Starbucks.. Facebook.. Whatsapp… Disney… Miramax.. Bloomberg.. NY Times… Oracle.. Dell… Goldman Sachs… Ralph Lauren… Tommy Hilfiger… Dallas Mavericks… Chicago Bulls
Golden State Warriors… Google.. Dreamworks.. Qualcomm.. Atlantic records.. Revlon.. Porsche.. etc… etc… etc) katika hali kama hii unategemea nn?
Na ndio maana wakitaka kukupakazia kitu huchomoki, wanamiliki mainstream media karibu zote duniani. So propaganda zinamilikiwa na wao. Refer ISIS. Nna wasiwasi hata kile kifungu pendwa cha bible bila shaka walikiweka wao makusudi ili waendelee kuwafanya wenzao maboya.
 
Siku zote hakujua sera na msimamo wa muajiri wake, na kama uezo wake ni mkubwa asingekubali kuajiriwa na shirika asiloamini itikadi zake.., nadhan ama aliamua kujilipua au ni zile mbinu za kutafuta kiki(popularity) ki@ina

Mjinga huyo nikama hajuwi aliemuajiri ni myahudi
 
Mbona umesema kwenye kicha cha habari kuwa Wamemfuta kazi mwandishi wa habari Mweusi,unajibagua mwenyewe maana huo weusi wa aliyefukuzwa kazi haujauzungumzia kwenye maelezo yako?
CNN yamfuta kazi mwandishi wake kwa kukosoa siasa za kikatili za Israel
Televisheni ya CNN ya Marekani imemfuta kazi mwandishi na mchambuzi wake kwa sababu ya kukosoa siasa za kikatili za utawala haramu wa Israel na kutoa wito wa kuundwa nchi huru ya Palestina.
Televisheni ya CNN imechukua hatua hiyo baada ya Marc Lamont Hill kuhutubia ukumbi wa Umoja wa Mataifa kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa la Palestina ambako alitoa wito wa kususiwa Israel na kuundwa nchi huru ya Palestina.
Baada ya hotuba hiyo televisheni ya CNN ilitoa taarifa ikisema Marc Lamont Hill amesimamishwa kazi. CNN haikutaja sababu ya kuchukuliwa hatua hiyo.
Katika hotuba yake kwenye Umoja wa Mataifa, Mark Lamant Hill ambaye pia ni mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Temple huko Philadelphia alitoa wito wa kususiwa Israel na kuundwa nchi huru ya Palestina kuanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Mediterania. Vilevile alisema kuwa anaunga mkono uhuru wa Palestina na kukosoa vikali sera na mienendo ya Israel.
Baada ya hotuba hiyo makundi yanayoiunga mkono Israel nchini Marekani yalianzisha hujuma na mashambulizi makali dhidi ya Mark Lamant Hill na kuitaka televisheni ya CNN na Chuo Kikuu cha Temple kumfuta kazi.
my take; uzayuni umeikalia washington kimabavu
 
Huwezi kuuita utawala wa Israel haramu. Nchi yenye Rais inayojitawala ! We utoke hukonuwaite haram kama nguruwe na uislam?

Ajitafakari
 
Back
Top Bottom