CNN Poll: Trump anaongoza

CNN Poll: Trump anaongoza

platozoom

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
9,548
Reaction score
11,517
Nilikuwa natazama CNN poll, Trump anaongoza kwa 45% dhidi ya 43% za Hillary Clinton.

Lakini pia inaonyesha kwa categories zote I.e likely voters, registered voters, truth worthy leader etc Trump anaongoza. Kilichonishangaza pia ni kuwa katika category zote Hillary ameshuka sana baada ya Convetion. Na zaidi ya hapo ni spending ya Hillary ya 120 milioni kwenye ads wakati Trump ni 20 milioni tu Usd.


Kama trend ni hii hadi Novemba inawezekana tukashuhudia kisichotegemewa na wengi.

Cc nguruvi 3, BAK, Koba, kui
 
Nilikuwa natazama CNN poll, Trump anaongoza kwa 45% dhidi ya 43% za Hillary Clinton.

Lakini pia inaonyesha kwa categories zote I.e likely voters, registered voters, truth worthy leader etc Trump anaongoza. Kilichonishangaza pia ni kuwa katika category zote Hillary ameshuka sana baada ya Convetion. Na zaidi ya hapo ni spending ya Hillary ya 120 milioni kwenye ads wakati Trump ni 20 milioni tu Usd.


Kama trend ni hii hadi Novemba inawezekana tukashuhudia kisichotegemewa na wengi.

Cc nguruvi 3, BAK, Koba, kui
Mkuu ni wiki Jana hii kitu vipi bado hakuna mpya?
Maana wa marekani kubadilika ni sekunde tu
Namkubali Mno trump ni mkweli mno
 
Wanaona mbali wameshaona Trump gonna win the election ndio mana Mexican President Enrique Pena Nieto alimpa compliment invitation na wamediscuss kuhusu swala la border wall uliona wapi rais wa nchi jirani anakutana na presidential candidate and addressing negotiations about the two countries as if Obama is dead.
Clinton has no more.
 
Nilikuwa natazama CNN poll, Trump anaongoza kwa 45% dhidi ya 43% za Hillary Clinton.

Lakini pia inaonyesha kwa categories zote I.e likely voters, registered voters, truth worthy leader etc Trump anaongoza. Kilichonishangaza pia ni kuwa katika category zote Hillary ameshuka sana baada ya Convetion. Na zaidi ya hapo ni spending ya Hillary ya 120 milioni kwenye ads wakati Trump ni 20 milioni tu Usd.


Kama trend ni hii hadi Novemba inawezekana tukashuhudia kisichotegemewa na wengi.

Cc nguruvi 3, BAK, Koba, kui
wacha DT ashinde bana afu awatoe nduki akina Mwanakijiji ili tuone wataandika nini kuhusu kipenzi chao CCM wakiwa kibarazani pale kwa Mtogole....
 
Nilikuwa natazama CNN poll, Trump anaongoza kwa 45% dhidi ya 43% za Hillary Clinton.

Lakini pia inaonyesha kwa categories zote I.e likely voters, registered voters, truth worthy leader etc Trump anaongoza. Kilichonishangaza pia ni kuwa katika category zote Hillary ameshuka sana baada ya Convetion. Na zaidi ya hapo ni spending ya Hillary ya 120 milioni kwenye ads wakati Trump ni 20 milioni tu Usd.


Kama trend ni hii hadi Novemba inawezekana tukashuhudia kisichotegemewa na wengi.

Cc nguruvi 3, BAK, Koba, kui
Wazungu by Nature ni wabaguzi sana ila huwa hawauzungumzi hadharani sasa trump kasema waziwazi hivyo anasuport kubwa kutoka kwa wazungu wezanzake
 
Kwa hiyo hamumkubali Mwanamke mwenzenu?
Mimi mwanamke lakini cheo kikubwa kama urais hapana ka kweli...!
Wanawake 95%hatuna uwezo wa kuhimili mikikimiki ya uongozi mkubwa kama huo
We huoni yule wa Brazil washamtema!
Na yule wa Liberia Kwa sababu tu ni Africa ingekua nchi zilizoendelea washamtema!

Tena taifa lenyewe kubwa America bora Trumph
 
Back
Top Bottom