McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu
Hii issue ishakuwa serious
--------------------------
Mtangazaji wa CNN, Larry Madowo, ametoa wito maalum kwa wananchi wa Tanzania ambao wamepata matukio ya polisi na magenge yake kupiga risasi na kuwaua raia wakati wa maandamano ya amani Oktoba 29,, kutuma video, picha na nyaraka zozote zinazoonesha ukiukaji wa haki za binadamu ili kuikamilisha taarifa ya uchunguzi wa suala hilo.
Hii issue ishakuwa serious
--------------------------
Mtangazaji wa CNN, Larry Madowo, ametoa wito maalum kwa wananchi wa Tanzania ambao wamepata matukio ya polisi na magenge yake kupiga risasi na kuwaua raia wakati wa maandamano ya amani Oktoba 29,, kutuma video, picha na nyaraka zozote zinazoonesha ukiukaji wa haki za binadamu ili kuikamilisha taarifa ya uchunguzi wa suala hilo.