Makaburi ya Kinondoni yatafungwa pia.Na wale malaya wanaojiuza kule barabarani mtafunga barabara?
UKAHABA ni biashara mtambuka!
Mhhhh...Waliowahi kwenda ulaya waliingizwa kwenye ARV zile za mwanzo kabisa, mpaka sasa wanadunda.
Wanaua mbu kwa kifaruVichaa wamepewa marungu wanauwa mpaka sisimizi
Ndiyo kawaida ya ccmNaona Hapi Anacheza na Ajira Za watu
Ushikwapo shikamanaDove yenyewe bei gani? Sasa si ni kazi ya kibiriti kuwasha na kuzima.
Nakumbuka kwa mzee madibaMmiliki angekuwa wa kanda ya ziwa sidhani km ingefungwa
We nikikwambia tutulie utawezaNdo mtulie na wake zenu
Hiki kichefuchefu sasa hapa mambo ya kaskazini yanaingiaje? Kwani hujui sheria inayozuia ukahaba au ku-facilitate ukahaba? Kwanini usimwambie mbunge wako aende bungeni kupeleka hoja ya kufuta sheria inayozuia biashara ya ukahaba badala ya kulilia ukanda kwa sheria ambayo ipo miaka zaidi ya 30 ila ilikuwa haijapata wa kuisimamia sawa sawa?Huu utawala wa ajabu kuwahi kutokea, fikiria ni ajira ngapi zimepotea. Kila mtu anatafuta misifa ya kijinga. Hii ni vita dhidi ya watu wa kaskazini
Ingawa serikali itakosa mapato na watu kupoteza ajira,lakini hawafuati sheria na kuharibu maadili.Kama unaishi karibu na familia yako ndio kero utajua uchungu wake.Hapa sheria zilizopo zinasimamiwa,sio kama zimetungwa jana au juzi,zilikuwepo.Wakichukia watu wawili kwa sheria kuchukua mkondo wake,mara mbili yake wanafurahi zaidi.Du ofisi zimefungwa, mjini panazidi kuwa pagumu.
Thats why I love you so much.It takes a lot to get me offended mkuu, no worries.
Na misikiti nayo utawaambia watoe spika?Ingawa serikali itakosa mapato na watu kupoteza ajira,lakini hawafuati sheria na kuharibu maadili.Kama unaishi karibu na familia yako ndio kero utajua uchungu wake.Hapa sheria zilizopo zinasimamiwa,sio kama zimetungwa jana au juzi,zilikuwepo.Wakichukia watu wawili kwa sheria kuchukua mkondo wake,mara mbili yake wanafurahi zaidi.
Na hapa isiwe mwisho,sheria ifanye kazi kwa baadhi ya makanisa yasiyofuata sheria kwa kuweka spika kubwa na kusali kwa kelele kubwa iwe usiku iwe mchana bila kujali haki za wengine,tena kwenye makazi ya RAIA wakati sheria mara nyingine haziruhusu hivyo.Kuna watoto,wagonjwa na waliochoka na kazi zakutwa wanashindwa kupata utulivu wa kupumzika.
Na hili lisiwe Dar tu,iwe nchi nzima ili kujenga utawala wa sheria.