Cloutus Chama hana thamani hii

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,232
12,506
Kuna mbinu zinatumiwa na mawakala wa wachezaji kupandisha thamani ya wachezaji wao. Ni kuzichagiza timu kubwa na pinzani kwa mchezaji wao.

Mfano Chama anaongezewa thamani ambayo hana kwa kumhusisha na Yanga na Simba. Binafsi, Chama ni mchezaji mzuri lakini ni WA kiwango Cha Tanzania na Afrika mashabiki TU. Utamuoneze thamani yake kibwege kabisa.
 
Kuna mbinu zinatumiwa na mawakala wa wachezaji kupandisha thamani ya wachezaji wao. Ni kuzichagiza timu kubwa na pinzani kwa mchezaji wao.

Mfano Chama anaongezewa thamani ambayo hana kwa kumhusisha na Yanga na Simba. Binafsi, Chama ni mchezaji mzuri lakini ni WA kiwango Cha Tanzania na Afrika mashabiki TU. Utamuoneze thamani yake kibwege kabisa.
Ni kweli hana hiyo thamani

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kuna mbinu zinatumiwa na mawakala wa wachezaji kupandisha thamani ya wachezaji wao. Ni kuzichagiza timu kubwa na pinzani kwa mchezaji wao.

Mfano Chama anaongezewa thamani ambayo hana kwa kumhusisha na Yanga na Simba. Binafsi, Chama ni mchezaji mzuri lakini ni WA kiwango Cha Tanzania na Afrika mashabiki TU. Utamuoneze thamani yake kibwege kabisa.
Hizo timu anazohusishwa nazo si ni za huko huko Afrika Mashariki ambako ndio kwenye kiwango chake (kwa mujibu wako), ?

Kuna ubaya gani hapo ?
 
Hizo timu anazohusishwa nazo si ni za huko huko Afrika Mashariki ambako ndio kwenye kiwango chake (kwa mujibu wako), ?

Kuna ubaya gani hapo ?
Wacha nikupe formula ya kutafuta/kukokotoa thamani ya mchezaji yeyote duniani na Africa.

Mchezaji mzuri na mwenye thamani kubwa sana atanyakuliwa fasta na mawakala kabla ya miaka 20 kwenda timu za man u, man city, Liverpool, Chelsea, arsenal, Real Madrid, Barcelona, PSG, Beryan, Juventus, nk.

Wachezaji wakubwa wa Afrika wananyakuliwa fasta kwenda timu za Ulaya, Africa Kaskazini na South Africa. Mchezaji mzuri hawezi sana hatamani kucheza timu za Eat Africa, hususani Simba na Yanga. Mchezaji mzuri hawezi kutoka Africa Kaskazini, Africa magharibi, South Africa aje East Africa.

Yaani uwezo wa Chama hautofautiani sana na wachezaji wetu hapa kama Akina shabalala, mapinduzi, lidondo, Ambundo, muhilu, nk. SEMA TU Chama alipatiwa nafasi ya kucheza kila mechi na akapata wachezaji wanaomuelewa.

Huwezi kulipa 1b au hata 500m kununua Chama, huo utakuwa ulevi wa hali ya juu.
 
Wacha nikupe formula ya kutafuta/kukokotoa thamani ya mchezaji yeyote duniani na Africa.

Mchezaji mzuri na mwenye thamani kubwa sana atanyakuliwa fasta na mawakala kabla ya miaka 20 kwenda timu za man u, man city, Liverpool, Chelsea, arsenal, Real Madrid, Barcelona, PSG, Beryan, Juventus, nk.

Wachezaji wakubwa wa Afrika wananyakuliwa fasta kwenda timu za Ulaya, Africa Kaskazini na South Africa. Mchezaji mzuri hawezi sana hatamani kucheza timu za Eat Africa, hususani Simba na Yanga. Mchezaji mzuri hawezi kutoka Africa Kaskazini, Africa magharibi, South Africa aje East Africa.

Yaani uwezo wa Chama hautofautiani sana na wachezaji wetu hapa kama Akina shabalala, mapinduzi, lidondo, Ambundo, muhilu, nk. SEMA TU Chama alipatiwa nafasi ya kucheza kila mechi na akapata wachezaji wanaomuelewa.

Huwezi kulipa 1b au hata 500m kununua Chama, huo utakuwa ulevi wa hali ya juu.
Uzuri au ubaya ni subjective.

Messi na Ronaldo mmoja anaweza kuwa mzuri au mbaya ukimlinganisha na mwenzie kwa mtazamo wako.

Kwa muktadha wa soka la kidunia, Chama hawezi kuwa mchezaji mzuri maana tutamlinganisha na akina Bruno Fernández, KDB na wengineo.

Lakini hautakua sahihi kama utaweka mpaka wa uzuri, kwamba kuanzia ligi za kaskazini mwa Afrika, Ligue 1, Serie A na EPL ndio kwenye uzuri. Utakua unakosea sana.

Uzuri unaweza kuupata hata aple unapolinganisha Yanga dhidi ya KMC, au Namungo dhihi ya Jang'ombe Boys.

Kwa soka la Tanzania Chama ni mchezaji mzuri na ndio maana anazigombanisha timu za Tanzania katika kumpata.
Chama hahitaji kuwa na uwezo kama wa Luca Modric au Iniesta ili awe mchezaji mzuri katika ligi ya Tanzania.

Kama Real Madrid, Bayern na Man City ndio zingekua zinapigana vikumbo kumpata Chama ungekua sahihi kwenye hoja yako, lakini kwa hizi timu za Tanzania, acha wamgombanie maana Chama ni mchezaji mzuri hapa kwetu.
 
Uzuri au ubaya ni subjective.

Messi na Ronaldo mmoja anaweza kuwa mzuri au mbaya ukimlinganisha na mwenzie kwa mtazamo wako.

Kwa muktadha wa soka la kidunia, Chama hawezi kuwa mchezaji mzuri maana tutamlinganisha na akina Bruno Fernández, KDB na wengineo.

Lakini hautakua sahihi kama utaweka mpaka wa uzuri, kwamba kuanzia ligi za kaskazini mwa Afrika, Ligue 1, Serie A na EPL ndio kwenye uzuri. Utakua unakosea sana.

Uzuri unaweza kuupata hata aple unapolinganisha Yanga dhidi ya KMC, au Namungo dhihi ya Jang'ombe Boys.

Kwa soka la Tanzania Chama ni mchezaji mzuri na ndio maana anazigombanisha timu za Tanzania katika kumpata.
Chama hahitaji kuwa na uwezo kama wa Luca Modric au Iniesta ili awe mchezaji mzuri katika ligi ya Tanzania.

Kama Real Madrid, Bayern na Man City ndio zingekua zinapigana vikumbo kumpata Chama ungekua sahihi kwenye hoja yako, lakini kwa hizi timu za Tanzania, acha wamgombanie maana Chama ni mchezaji mzuri hapa kwetu.
Sikatai ni mzuri kibongobongo, nakataa thamani anayopewa. Ligi yetu hii ya bongo yenyewe viwanja vibovu na waamuzi wabovu kuna mchezaji wa 500m au 1b. Kuna ujanja ujanja wunafanywa na mawakala ili wapige pesa kupitia mchezaji. Nakwambia hata chama akiwemo ndani timu hiyo itafungwa TU. Mpira wetu unachezwa zaidi nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja. Hivi kazidi sana thamani yake ni 200ml.

Huwezi kusema dereva wa Corolla akipewa Carina hawezi kuendesha. Chama na Makambo wacheze vizuri Tanzania lakini wakose namba kwenye timu zao mpya. Hiyo inatokea kwa nadra sana.
 
Umri umemtupa, uwezo wa kucheza hana tena. Ndiyo maana waarabu hawamtaki tena.

Kwa lugha nyepesi tunasema ameishafeli maisha ya soka ingawa okotaokota watamchukua tu kwa sababu wanapenda kuchukua wazee.
 
Hana thamani ipi? Maana mtoa mada hajataja hiyo thamani ila cha ajabu mwenzangu umemuelewa kama hutojali unaweza nisaidia namie mtoa mada anaongelea thamani ipi mkuu

Naona umeamua kugonga nyundo ya utosini kabisa
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom