DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Una akili timamu ?Davido amwombe msaada domo..we umelewa nini!!!..Davido anafanya makolabo na akina Chris breeze huko majuu jamaa yenu kakazana kukopi na kupesti,anafanya kolabo na wakongoman
Wasafi ile show ya kijinga unalipa 10000 unaenda kusikiliza sound mbovu,utaona tarehe 8 wanaume tunavyofanya yetu
Sio kwa ubaya ila clouds kama wamechanganyikiwa na balaa zitoo wangesoma madhaifu walioyaona. Juz Upande wa pili alaf ndio wangejipanga vzr #mfano walete live 100parcent alaf .Alist yao isiwe na wasanii wa bongo tu .watu wameshawazoea kila cku tunawaona . watushushie Drake. watajaza tuWasafi ile show ya kijinga unalipa 10000 unaenda kusikiliza sound mbovu,utaona tarehe 8 wanaume tunavyofanya yetu
Unaonekana bado ni mchanga sana katika masuala ya mziki na fan base,na ndo maana hamuishi kushangilia kopi na pesti!Sawa mwishoni mwa mwaka jana,Davido alipiga show Next Door Arena,akamwita Diamond aje kumpa support baada ya hapo Diamond akaenda kumsupport Harmonize kwenye show yake Mbagala.Alafu uzuri hiyo habari wamepost wenyewe Clouds katika akaunti yao Youtube.
Hakuna msanii wa nje [emoji817] wasanii wetu wa ndaniBado kuna vichwa vimepigiwa kura,si unajua international artist hadi confirmation ifanyike...Ila kutoka mamtoni atakuwa mmoja na wa afrika wawili,davido ana kura nyingi sana huyu anaweza kupita
Diamond PlatinumzJamaa utumie akili sometimes,kwan unaangalia show kwanza ndo unalipa,au unalipa kwanza ndo unaangalia show!!???
Watu walilipa laki lakini walichokutana nacho ni ushubwada mtupu..ukiondoa wizkid na tiwa kuna msanii gani mwingine wa maana aliye-perform wasafi ambaye hawezi kufanya fiesta
International artist atatajwa soon,msanii wa nje agreement na confirmation kwanza ndo atangazweSio kwa ubaya ila clouds kama wamechanganyikiwa na balaa zitoo wangesoma madhaifu walioyaona. Juz Upande wa pili alaf ndio wangejipanga vzr #mfano walete live 100parcent alaf .Alist yao isiwe na wasanii wa bongo tu .watu wameshawazoea kila cku tunawaona . watushushie Drake. watajaza tu
Kwani kiingilio unalipa baada ya show au kabla? Ikiwa kabla Basi waweza lipa na show ikawa mbayaShow mbovu watu wangelipa mpaka laki?
Hebu usiongee kama kolo. Japo mie sio team Wasafi ila jamaa wata wa outperform Fiesta.
#Levels halafu kiingilio hela ya pinchi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Subirien kuibiwa simu na mateja wa keko. Lazma wazamie kwa wingi.
Hahahah sawa sawaKwa upande was show na mpangilio wake Sina Shaka utakuwa mzuri na wenye matukio ya kuvuta na kuvutia hisia, ila wasiwasi wangu kiingilio ni kidogo Sana kitakachoruhusu hata wasio watu wa burudani kuwepo kitu ambacho kinaweza zalisha matukio ya hovyo hovyo kwa wahudhuriaji.
AHaitakuwa mara ya kwanza Diamond kuitwa jukwaani na Davido kwenye jukwaa la fiesta. Tafuta historia.
Diamond Platinumz
Pointless wewe umesema DAVIDO hawezi kumwita Mondi,nimekuwekea post waliyopost Clouds.Mchanga ni wewe ila hata nikwambia mimi nani haitokusaidia,ila industry ya mziki naijua vizuri sana.Unaonekana bado ni mchanga sana katika masuala ya mziki na fan base,na ndo maana hamuishi kushangilia kopi na pesti!
Kwahio we kwako msanii ni nani? Baba Joniii?😂😂😂😃😃😃😄🤣🤣🤣 Hawezi kuwa msanii huyo,msanii gani ye kazi yake ni kupesti tuuuuuu
Kunogesha,kuleta msanii wa nje haina maana kuwa wa hapa hawana uwezo.Wa nje ili iweje ikiwa hawa wa kwetu wanauwezo sawa na hao wa nje.
Na temeke kulivyo na vibakaaaaHofu yangu ni kwenye suala la Usalama?
Una akili timamu ?
Huyo Chris Brown ni mmoja ya wataalamu wa kufanya sampling nyimbo za wengine. Muwe mnafanya utafiti kabla ya kukurupuka
Onesha sehemu niliyosema Davido hawezi kumuita diamond,Pointless wewe umesema DAVIDO hawezi kumwita Mondi,nimekuwekea post waliyopost Clouds.Mchanga ni wewe ila hata nikwambia mimi nani haitokusaidia,ila industry ya mziki naijua vizuri sana.