Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
unaskiza ipoMara ya Mwisho kusikiliza hiyo radio Na tv Yao ilikua 2010!
unaskiza ipoMara ya Mwisho kusikiliza hiyo radio Na tv Yao ilikua 2010!
EA radio Mkuu!unaskiza ipo
Wao wakiulizwa hawawezi kutoa jibu ulilotoa wewe, hapo ndio tofauti ilipo kati yao na weweClouds imesajiliwa na TCRA Kama Radio ya Matangazo na Burudani...so hutaki matangazo,SIMPLE:Kuna Over 99 Radios ambazo unaweza kuopt kusikiliza
Mimi nilishashindwa kuwasikiliza hawa jamaa kabisa nilishahamia zangu ifiem. Ni kama mleta uzi ulishawahi kunisikia nikiwalalamikia hawa jamaa.Vipind vya Asubuhi ni vipindi ambavyo mtu anataka kusikia habari chap chap aendelee na mambo mengine ya kujenga Nchi
Sasa nyie Yaani ni matangazooo tu ..mpaka mtu hujui ni nn unangoja kusikiliza .
Power Breakfast .. Mkienda Break ...mnaweka Matangazo Sita mpaka sabab Mkirudi ,Mnaanza kujadili tena Matangazo ,Mara Sujui ABC ,Mara sijui ,Play Master,Mara Sijui Fast Jet ...yaani tangazo moja mnachukua dakika 10 Kilidiscus,Mnaenda tena Break ... Matangazo na Nyimbo Moja ,Mnarudi mnadiscus hiyo Nyimbo na Matangazo Tena ..
Mnakera mtu kungoja Habari try To kupunguza ,Kama yamewazidi Jaribu jukaata matangazo mengine ,Tamaa si nzuri
Wajipange waache tamaa kujiendesha wataweza tu..sasa redio itajiendeshaje?