Eti watu waonewe na wasimkemee dikteta kwa sababu gani? Kama kuna gharama ya kulipa wacha na iwe hivyoWaache. Sasa hivi wanapiga kelele kweli. Muulize sasa Mange Kimambi wameanza kumshika kidogo kidogo. Hotel yao sasa hivi inapigwa mnada. Yaani wangekuwa na akili wangeachana na kushindana na serikali ili kufurahisha watu fulani.
Mwananchi sasa hivi wameanza kufungasha vilago baada ya kuanza kukosa matangazo.
ITV sasa hivi wameachana na hilo jambo. Wenyewe wanaendelea kulishikia bango. TRA wakiingia hapo. Itakuwa noma.
Kisasi ni mamlaka ya Mungu wewe tuondolee ubashite wako hapa...huyo Ngosha mnayemsifia kuwa ni bingwa wa visasi vp leo mkisikia Mungu kaivuta roho yake???Msimsifie mtu kwa uwezo ambao hanaMuda si mrefu utasikia taasisi na mashirika yote ya serikali kutopeleka matangazo Clouds
Pia Tamasha pendwa Fiesta litashitiswa kwa sababu za kiusalama
TRA & TCRA watakuwa wageni wa Clouds
Ngosha ni bingwa wa visasi we subiri tu tutasikia
Eti duniani hakuna taasisi iliyowahi kushindana na serikali...Ogopa sana mtu anayekumaliza huku unakuangalia usoni na wala aoni aibu kukusema popote pale
Dunian hakuna taasisi iliyoweza kushindana na serikali ikashinda sasa hv wanajifanya kama vile wako kimya sasa ni zamu ya Clouds kuongea tena wamejichongea kujiunga na Bishop serikali inajua tu watanzania ni watu wa kusahau ngoja upepo huu upite then ndo serikali inakushugulikia vizuri leo Manji yuko wapi pamoja na kutamba na wanasheria 6 kutoka TZ na UK leo wanasheria hawajui mteja wao alipo
Leo Mange hotel ya Familia inauzwa then watakuja nyumba ya familia then mali za familia
Clouds wanaitaji sana back up ya serikali kutokana na mambo wanayofanya ktk biashara zao lakini Serikali sidhani kama inaitaji back up ya Clouds kama Clouds wanavyoitaji back up ya GVMT
PovuVyeti vya nn? Kwan unatoa ajira?
Kituo mbali na Makonda Rais JPM kakipromoti Sana Sana. Hasa wakaaanza kufuatilia vipindi baada ya My. Rais kuwapigia simu mara kwa Mara. Watu ndipo watu wakes na interest ya kuona kulikoni. Hata mm nilikiona kituo cha kawaida kidogo tu.Chances never come twice au tragedy come in thrice. Hili tukio limekuja mnalaani na kulaumu na hata kuamua kuside na waliokuwa maadui wenu dhidi ya rafiki yenu. Rafiki wa kweli ni yule anayesimama na nyinyi wakati wa shida.
Sio siri mlikuwa mnakabiliwa na ushindani mkubwa sana kibiashara na mlishaanza kupotea, lakini rafiki yenu kaja na backup plan to bring u at the top of every media. Mnataka nini tena clouds! Mlimsaidia sana RC kufanikisha kazi zake sasa na yeye kawasaidia sana kuwaweka juu. Coincidence.
Mshukuru Mungu kwa kila jambo na pia hata president kawapa sana publicity toka aingie madarakani, mimi hata nilikuwa sjui 360 lakini kupitia yeye nikawa mfuatiliaji, baba wa watu mpaka kateua mtu kutoka hapo katika kipindi cha 360. Please don't mess up with him na huo ndo urafiki.
Karibuni wadau kujazia nyama
Waache. Sasa hivi wanapiga kelele kweli. Muulize sasa Mange Kimambi wameanza kumshika kidogo kidogo. Hotel yao sasa hivi inapigwa mnada. Yaani wangekuwa na akili wangeachana na kushindana na serikali ili kufurahisha watu fulani.
Mwananchi sasa hivi wameanza kufungasha vilago baada ya kuanza kukosa matangazo.
ITV sasa hivi wameachana na hilo jambo. Wenyewe wanaendelea kulishikia bango. TRA wakiingia hapo. Itakuwa noma.
Waache. Sasa hivi wanapiga kelele kweli. Muulize sasa Mange Kimambi wameanza kumshika kidogo kidogo. Hotel yao sasa hivi inapigwa mnada. Yaani wangekuwa na akili wangeachana na kushindana na serikali ili kufurahisha watu fulani.
Mwananchi sasa hivi wameanza kufungasha vilago baada ya kuanza kukosa matangazo.
ITV sasa hivi wameachana na hilo jambo. Wenyewe wanaendelea kulishikia bango. TRA wakiingia hapo. Itakuwa noma.
Mkuu ulitaka wajikombe hatakama wanashikwa makalio?naamini Hawa hawakusoma vizuri situation na wamewahi sana kureact nakuja public, wajisahihishe mapema, la sivyo, itakuwa hadithi ya from hero to zero
Mpuuzii wewe huna hoja tuone kama wataweza uza hiyo motelWaache. Sasa hivi wanapiga kelele kweli. Muulize sasa Mange Kimambi wameanza kumshika kidogo kidogo. Hotel yao sasa hivi inapigwa mnada. Yaani wangekuwa na akili wangeachana na kushindana na serikali ili kufurahisha watu fulani.
Mwananchi sasa hivi wameanza kufungasha vilago baada ya kuanza kukosa matangazo.
ITV sasa hivi wameachana na hilo jambo. Wenyewe wanaendelea kulishikia bango. TRA wakiingia hapo. Itakuwa noma.
brother ukiwa mjanjamjanja sawa,mzee Said Salim Bhakera kalipwa MABILION na serikali yetu baada ya kutosa Baharini Ngano kutoka nje kuwa ni mbovu kisa Aliisuport CUF,jamaa waliomuuzia wakamwambia KIJANA tulia sisi tutakusimamia wakaleta wataalamu na wanasheria wao Jamaa Wakashinda serikali ikamlipa na FIDIA pesa kibao ila angekua anafanya figisufigusi ingekula kwake,mbona Efm inafanya vizuri tu au Mr president alipiga simu siku moja?Ogopa sana mtu anayekumaliza huku unakuangalia usoni na wala aoni aibu kukusema popote pale
Dunian hakuna taasisi iliyoweza kushindana na serikali ikashinda sasa hv wanajifanya kama vile wako kimya sasa ni zamu ya Clouds kuongea tena wamejichongea kujiunga na Bishop serikali inajua tu watanzania ni watu wa kusahau ngoja upepo huu upite then ndo serikali inakushugulikia vizuri leo Manji yuko wapi pamoja na kutamba na wanasheria 6 kutoka TZ na UK leo wanasheria hawajui mteja wao alipo
Leo Mange hotel ya Familia inauzwa then watakuja nyumba ya familia then mali za familia
Clouds wanaitaji sana back up ya serikali kutokana na mambo wanayofanya ktk biashara zao lakini Serikali sidhani kama inaitaji back up ya Clouds kama Clouds wanavyoitaji back up ya GVMT
Inawezekana ww ndio ukawa Bashite wa Kalomije vijijini nitajie taasisi gani iliyowatoa hao viongozi uliowataja hapo juu au maana ya taasisi ujui?Eti duniani hakuna taasisi iliyowahi kushindana na serikali...
Nikuulize...
Gadafi yuko wapi?
Idi Amini yuko wapi?
Blaise Compaore yuko wapi?
Mobuu yuko wapi?
Acheni ubashite wenu bana muwe mnafikiri kabla ya kusema
Salim alikuwa clean kwani siku zote ukiwa aganst na Serikali ni lazima uhakikishe check &Balance ziko vizuri pia Salim alikuwa anafanya Biashara na kampuni za nje na kesi aikufanyikia mahakama ya kisutu swali je kesi ingekuwa Mahakama ya kisutu mpaka leo hukumu ingekuwa badobrother ukiwa mjanjamjanja sawa,mzee Said Salim Bhakera kalipwa MABILION na serikali yetu baada ya kutosa Baharini Ngano kutoka nje kuwa ni mbovu kisa Aliisuport CUF,jamaa waliomuuzia wakamwambia KIJANA tulia sisi tutakusimamia wakaleta wataalamu na wanasheria wao Jamaa Wakashinda serikali ikamlipa na FIDIA pesa kibao ila angekua anafanya figisufigusi ingekula kwake,mbona Efm inafanya vizuri tu au Mr president alipiga simu siku moja?
Hivi unajua Biashara ya vyombo vya habari ww leo hzo taasisi wanawapelekea matangazo kutokana na ukaribu wao na wanasiasa ndio wanapata connection ya kuingia hata office za UN na mashirika ya kimataifa hv unajua Mwanachi wanataka kuondoka kurudi kwao kwenye kutokana na biashara kuwa mbovu? na ktk magazeti mawili aliyosema Mwenyekiti moja lilikuwa mwananchi?Ni bora wakose matangazo yote ya serikali kuliko kupandwa kichwani na akina Bashitee. Bado matangazo ya taasisi binafsi na mashirika ya kimataifa yatawasaidia tu!
Nimekuwa kwenye industry hii almost 18 plus. najua kwamba ukiendesha media kwa hofu ile ya kuwagusa wakubwa watakunyima matangazo utaendesha chombo kwa shida sana japo unapata matangazo! Kinachotikisa vyombo vya habari kwa sasa (kukosa/kupungua matangazo) sio tu staili ya uongozi wa awamu ya tano, bali ni pamoja na kuibuka kwa new media. Haya mambo mawili ndio yanavikoroga vyombo vya habari vile traditional. Na tatizo zaidi liko kwenye print media maana hata sales za copies nazo zimeshuka.Hivi unajua Biashara ya vyombo vya habari ww leo hzo taasisi wanawapelekea matangazo kutokana na ukaribu wao na wanasiasa ndio wanapata connection ya kuingia hata office za UN na mashirika ya kimataifa hv unajua Mwanachi wanataka kuondoka kurudi kwao kwenye kutokana na biashara kuwa mbovu? na ktk magazeti mawili aliyosema Mwenyekiti moja lilikuwa mwananchi?