INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,255
unauliza nani kasema hivyo wakati unayoyauliza ndio umeendelea kuyaandika..!did something wrong upstairs..!!??kwahiyo serikali ipo kuwalinda wezi na wakwepa kodi sababu wako ccm..!!maajabu ya karne only in bongo land alafu anakuja mtu anajipambanua kwa usomi kama wewe bado anatetea na kufurahi aujinga huu..Nani kasema hivyo. Hawa wanaopiga kelele wana madudu mengi sana serikali imewastahi. Hawa akina Mange wamevumiliwa sana. Sasa unaponyea kambi ya jeshi unategemea nini? Hapa haki kwa haki. Hawa akina Gwajima wanatapa tapa tu. Wamenaswa kwenye mtego.