Clouds Media group: Chances never come twice au tragedy come in thrice

Nani kasema hivyo. Hawa wanaopiga kelele wana madudu mengi sana serikali imewastahi. Hawa akina Mange wamevumiliwa sana. Sasa unaponyea kambi ya jeshi unategemea nini? Hapa haki kwa haki. Hawa akina Gwajima wanatapa tapa tu. Wamenaswa kwenye mtego.
unauliza nani kasema hivyo wakati unayoyauliza ndio umeendelea kuyaandika..!did something wrong upstairs..!!??kwahiyo serikali ipo kuwalinda wezi na wakwepa kodi sababu wako ccm..!!maajabu ya karne only in bongo land alafu anakuja mtu anajipambanua kwa usomi kama wewe bado anatetea na kufurahi aujinga huu..:(:(:(:(:eek::eek:
 
Kwa Jina la Yesu Kristo, hili halitatokea. Nalikwamisha kabisa duniani na kwenye mbingu na anga zote. AMEN (Isaya 7.7)
Huyo Yesu si wa Clouds peke yao ni wawote pamoja na Serikali mwambieni Ruge atafute mafile ya kulipa kodi kama yako vizuri na mm najua hayako vizuri kwani watu weusi swala la kulipa kodi ni jambo gumu sana tunaona kama tunaonewa siku TRA watakapo mpelekea malimbikizo ya kodi bilion 20 toka yuko kitega uchumi mpaka sasa

Na TCRA kwani Clouds wanawahuni si watangazaji unadhani maneno ya kibonde na Adam mchovu kwenye vipindi vyao TCRA watashindwa kupiga pin?

Sasa hv wanamgusa Makonda tu lakni siku wakimgusa NGOSHA mkubwa itakuwa kama Radio Magic na Radio 5 ya Arusha walivyofungiwa bahati mbaya hakifungiwi kipindi bali inafugwa radio sasa kama watafungiwa miezi 3 tu ni hasara kiasi gani watakuwa wamepata ??
 
Ivi Watz tunataka nn juzi kuna watu walisema hawaangalii clouds kwa sababu imekuwa kama TBC,RC amevamia mkasimama kidedea na Ruge mnashinikiza aseme ukweli amesema ukweli mmegeuka kweli nimeamini huwezi mridhisha binadamu.
 
None sense, CLOUD Ikiwa sued Bashite atalipa? kwanini hawakupeleka TBC huo ujinga wao.mna post ujinga uliotukuka! Cloud wamekuwa fair hawaja sue,wametaka apology tu! ww unatumia masaburi kufikiria
jaribu kuwa objective kwenye issues; serikali iliacha kutumia media zake watu wakawa wanapishana mikocheni Mara mkulu katuma mkwanja kwa wanaotangazwa wanauhitaji, simu za mkulu pale, Leo hii ndo pale pale rc kavamia kwenye kituo pendwa cha bosi wake!! hivi mawazo hayo ni rahisirahisi eeh!
 
Umeandika ya kweli, tena kwa spidi hii ninawashangaa na yanayojiri.

Haswa watangazaji kumuita hadi yeye mbwa, kuongea kama vile aliwafunga na huku kituo sio mali yake. Na bosi eao alithibiisha yeye ndie anatoa ruksanya yanayorushwa, hivyo yote ni uamuzi wao. Watangazaji wao wanayofanya hapana, kama vile hakuna mengine ya kuzungumziwa


Makonda oyeeeee
 
Ivi Watz tunataka nn juzi kuna watu walisema hawaangalii clouds kwa sababu imekuwa kama TBC,RC amevamia mkasimama kidedea na Ruge mnashinikiza aseme ukweli amesema ukweli mmegeuka kweli nimeamini huwezi mlidhisha binadamu.
mlidhisha=mridhisha!
jaribu kutumia lugha ambayo angalau unaiweza
 
Waache. Sasa hivi wanapiga kelele kweli. Muulize sasa Mange Kimambi wameanza kumshika kidogo kidogo. Hotel yao sasa hivi inapigwa mnada. Yaani wangekuwa na akili wangeachana na kushindana na serikali ili kufurahisha watu fulani.
Mwananchi sasa hivi wameanza kufungasha vilago baada ya kuanza kukosa matangazo.

ITV sasa hivi wameachana na hilo jambo. Wenyewe wanaendelea kulishikia bango. TRA wakiingia hapo. Itakuwa noma.
uoga ni ugonjwa Mbaya sana! huwa nasikitika sana kuona member wa jf wa mda mrefu anachangia pumba.
 
hacha kuongea pumba so wewe unashabikia unyanyasaji wanaofanyiwa watu na hii serikali ya kiimla,ya mungu mtu!! unaombea na kufurahia mwenzako akipata matatizo!subiri yaje upande wako dunia bado inazunguka hta uyu unayemtukuza hapa kwa kujiona yupo above kwa kila kitu hana mkataba na mungu!!! wacha atulize na kutukwaza kwa ubabe wake, tutakapoacha kulia ndio atajua maana ya chozi letu!!!
 
Yote kwa yote ni mawazo sahihi lakini tunachopaswa kujua ni kua tunastahili kuishi kwa uhuru na amani bila ya kuogopeshwa na unyonge,zaidi sana hatupaswi kutishana cha msingi ni kutii sheria bila shuruti kwa nini tutishane?
 
Hivi huyo serikali ndio nani
hata sisi we are part of hiyo serikali
kama unajua unachokifanya ni sahihi na huvunji sheria kwanini usikisimamie hicho
uwoga wa kijinga ndio unaotufanya turuhusu watu kutufanya watakavyo, na wakishajua huna msimamo ndipo watakapo kubiruabirua kama watakavyo
 
Kwa hiyo TRA na Serikali kwa ujumla wake wanafany vitu kwa kukomoana?,
Wanafanya inavyotakiwa. Kama umeendesha matamasha bila kulipa kudi lazima upigiwe hesabu ulipe. Ukipigiwa hesabu siyo kuja juu na kuanza kuleta zengwe la kumchafua mtu kwa kisingizio.
 
Kinachowamaliza watanzania wengi ni ile hali au tabia ya kutopenda kutenda haki ila ni watu wakupenda tu wao watendewe haki.
Watanzania wengi ni madhulumati, wamejawa na chuki, hila yani mitabia mibaya mibaya mingi sana.
Hivyo sababu hizo hapo zinafanya kuwaondoa kwenye ile 'moral authority' ya kukemea, kulaani, kukosoa na kupinga ubaya na udhalimu unaofanywa hata na watawala pia achilia mbali raia wa kawaida anapokosea.
Unawezaje kunikosoa mimi kwa uovu ninaofanya hali hata wewe mwenyewe unafanya?

Mtanzania hata yule raia tu wa kawaida ni ile tu amekosa mamlaka/power ila akipata utaona mabaya anayoyafanya, na ukitaka kujua tabia za hovyo za watz wengi we fatilia tu maisha halisi wanayoishi utajua haya nayoeleza.

UKISHACHAFUKA NENDA KWANZA KAJISAFISHE UWE MSAFI NA HAPO UTAWEZA KUWASAFISHA WENGINE WALOCHAFUKA.
 
Nani kasema hivyo. Hawa wanaopiga kelele wana madudu mengi sana serikali imewastahi. Hawa akina Mange wamevumiliwa sana. Sasa unaponyea kambi ya jeshi unategemea nini? Hapa haki kwa haki. Hawa akina Gwajima wanatapa tapa tu. Wamenaswa kwenye mtego.
Yale magari mtarudisha ???
 
Waache. Sasa hivi wanapiga kelele kweli. Muulize sasa Mange Kimambi wameanza kumshika kidogo kidogo. Hotel yao sasa hivi inapigwa mnada. Yaani wangekuwa na akili wangeachana na kushindana na serikali ili kufurahisha watu fulani.
Mwananchi sasa hivi wameanza kufungasha vilago baada ya kuanza kukosa matangazo.

ITV sasa hivi wameachana na hilo jambo. Wenyewe wanaendelea kulishikia bango. TRA wakiingia hapo. Itakuwa noma.
I told them...notification za tax zitakuwa heavy this time.....they are really blind they dont see it is coming....
 
Waache. Sasa hivi wanapiga kelele kweli. Muulize sasa Mange Kimambi wameanza kumshika kidogo kidogo. Hotel yao sasa hivi inapigwa mnada. Yaani wangekuwa na akili wangeachana na kushindana na serikali ili kufurahisha watu fulani.
Mwananchi sasa hivi wameanza kufungasha vilago baada ya kuanza kukosa matangazo.

ITV sasa hivi wameachana na hilo jambo. Wenyewe wanaendelea kulishikia bango. TRA wakiingia hapo. Itakuwa noma.
serikali ya visasi
 
Muda si mrefu utasikia taasisi na mashirika yote ya serikali kutopeleka matangazo Clouds

Pia Tamasha pendwa Fiesta litashitiswa kwa sababu za kiusalama

TRA & TCRA watakuwa wageni wa Clouds
Ngosha ni bingwa wa visasi we subiri tu tutasikia

Hata JK alisemwa kuwa ni bingwa wa visasi na watu walikuwa wakiandika hapa.

Ruge amekosea sana amefanya maamuzi ya pupa kulishughulikia hili jambo.
 
Muda si mrefu utasikia taasisi na mashirika yote ya serikali kutopeleka matangazo Clouds

Pia Tamasha pendwa Fiesta litashitiswa kwa sababu za kiusalama

TRA & TCRA watakuwa wageni wa Clouds
Ngosha ni bingwa wa visasi we subiri tu tutasikia
Ni bora wakose matangazo yote ya serikali kuliko kupandwa kichwani na akina Bashitee. Bado matangazo ya taasisi binafsi na mashirika ya kimataifa yatawasaidia tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom