Clouds Media group: Chances never come twice au tragedy come in thrice

mmh

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
2,910
5,083
Chances never come twice au tragedy come in thrice. Hili tukio limekuja mnalaani na kulaumu na hata kuamua kuside na waliokuwa maadui wenu dhidi ya rafiki yenu. Rafiki wa kweli ni yule anayesimama na nyinyi wakati wa shida.

Sio siri mlikuwa mnakabiliwa na ushindani mkubwa sana kibiashara na mlishaanza kupotea, lakini rafiki yenu kaja na backup plan to bring u at the top of every media. Mnataka nini tena clouds! Mlimsaidia sana RC kufanikisha kazi zake sasa na yeye kawasaidia sana kuwaweka juu. Coincidence.

Mshukuru Mungu kwa kila jambo na pia hata president kawapa sana publicity toka aingie madarakani, mimi hata nilikuwa sjui 360 lakini kupitia yeye nikawa mfuatiliaji, baba wa watu mpaka kateua mtu kutoka hapo katika kipindi cha 360. Please don't mess up with him na huo ndo urafiki.

Karibuni wadau kujazia nyama
 
Waache. Sasa hivi wanapiga kelele kweli. Muulize sasa Mange Kimambi wameanza kumshika kidogo kidogo. Hotel yao sasa hivi inapigwa mnada. Yaani wangekuwa na akili wangeachana na kushindana na serikali ili kufurahisha watu fulani.
Mwananchi sasa hivi wameanza kufungasha vilago baada ya kuanza kukosa matangazo.

ITV sasa hivi wameachana na hilo jambo. Wenyewe wanaendelea kulishikia bango. TRA wakiingia hapo. Itakuwa noma.
 
chances never come twice au tragedy come in thrice. hili tukio limekuja mnalaani na kulaumu na hata kuamua kuside na waliokuwa maadui wenu dhidi ya rafiki yenu. rafiki wa kweli ni yule anayesimama na nyinyi wakati wa Shida. sio siri mlikuwa mnakabiliwa na ushindani Mkubwa sana kibiashara na mlishaanza kupotea, lakini rafiki yenu kaja na backup plan to bring u at the top of every media. mnataka nini tena clouds! mlimsaidia sana rc kufanikisha kazi zake sasa na yeye kawasaidia sana kuwaweka juu. coincidence! mmushukuru mungu kwa kila jambo na pia hata president kawapa sana publicity toka aingie madarakani, Mimi hata nilikuwa cjui 360 lakini kupitia yeye nikawa mfuatiliaji, baba wa watu mpaka kateua mtu kutoka hapo ktk kipindi cha 360. please don't mess up with him na huo ndo urafiki.
moderator mnatabia ya kuungaunga nyuzi za watu tunaomba mtuache huu ni Uhuru wa kupeana taarifa bila kuingiliwa.
karibuni wadau kujazia nyama
Vyeti vyeti vyeti vyeti
 
Watazania wengi hatukupata chakula bora utotoni, hivyo na akili azikukua.

chances never come twice au tragedy come in thrice. hili tukio limekuja mnalaani na kulaumu na hata kuamua kuside na waliokuwa maadui wenu dhidi ya rafiki yenu. rafiki wa kweli ni yule anayesimama na nyinyi wakati wa Shida. sio siri mlikuwa mnakabiliwa na ushindani Mkubwa sana kibiashara na mlishaanza kupotea, lakini rafiki yenu kaja na backup plan to bring u at the top of every media. mnataka nini tena clouds! mlimsaidia sana rc kufanikisha kazi zake sasa na yeye kawasaidia sana kuwaweka juu. coincidence! mmushukuru mungu kwa kila jambo na pia hata president kawapa sana publicity toka aingie madarakani, Mimi hata nilikuwa cjui 360 lakini kupitia yeye nikawa mfuatiliaji, baba wa watu mpaka kateua mtu kutoka hapo ktk kipindi cha 360. please don't mess up with him na huo ndo urafiki.
moderator mnatabia ya kuungaunga nyuzi za watu tunaomba mtuache huu ni Uhuru wa kupeana taarifa bila kuingiliwa.
karibuni wadau kujazia nyama
 
Waache. Sasa hivi wanapiga kelele kweli. Muulize sasa Mange Kimambi wameanza kumshika kidogo kidogo. Hotel yao sasa hivi inapigwa mnada. Yaani wangekuwa na akili wangeachana na kushindana na serikali ili kufurahisha watu fulani.
Mwananchi sasa hivi wameanza kufungasha vilago baada ya kuanza kukosa matangazo.

ITV sasa hivi wameachana na hilo jambo. Wenyewe wanaendelea kulishikia bango. TRA wakiingia hapo. Itakuwa noma.
Muda si mrefu utasikia taasisi na mashirika yote ya serikali kutopeleka matangazo Clouds

Pia Tamasha pendwa Fiesta litashitiswa kwa sababu za kiusalama

TRA & TCRA watakuwa wageni wa Clouds
Ngosha ni bingwa wa visasi we subiri tu tutasikia
 
Muda si mrefu utasikia taasisi na mashirika yote ya serikali kutopeleka matangazo Clouds

Pia Tamasha pendwa Fiesta litashitiswa kwa sababu za kiusalama

TRA & TCRA watakuwa wageni wa Clouds
Ngosha ni bingwa wa visasi we subiri tu tutasikia
naamini Hawa hawakusoma vizuri situation na wamewahi sana kureact nakuja public, wajisahihishe mapema, la sivyo, itakuwa hadithi ya from hero to zero
 
Waache. Sasa hivi wanapiga kelele kweli. Muulize sasa Mange Kimambi wameanza kumshika kidogo kidogo. Hotel yao sasa hivi inapigwa mnada. Yaani wangekuwa na akili wangeachana na kushindana na serikali ili kufurahisha watu fulani.
Mwananchi sasa hivi wameanza kufungasha vilago baada ya kuanza kukosa matangazo.

ITV sasa hivi wameachana na hilo jambo. Wenyewe wanaendelea kulishikia bango. TRA wakiingia hapo. Itakuwa noma.
kwahiyo mnataka kutuambia ukitaka kufanikiwa na wizi wako nikuendelea kuikumbatia ccm??
 
naamini Hawa hawakusoma vizuri situation na wamewahi sana kureact nakuja public, wajisahihishe mapema, la sivyo, itakuwa hadithi ya from hero to zero
Ogopa sana mtu anayekumaliza huku unakuangalia usoni na wala aoni aibu kukusema popote pale

Dunian hakuna taasisi iliyoweza kushindana na serikali ikashinda sasa hv wanajifanya kama vile wako kimya sasa ni zamu ya Clouds kuongea tena wamejichongea kujiunga na Bishop serikali inajua tu watanzania ni watu wa kusahau ngoja upepo huu upite then ndo serikali inakushugulikia vizuri leo Manji yuko wapi pamoja na kutamba na wanasheria 6 kutoka TZ na UK leo wanasheria hawajui mteja wao alipo

Leo Mange hotel ya Familia inauzwa then watakuja nyumba ya familia then mali za familia

Clouds wanaitaji sana back up ya serikali kutokana na mambo wanayofanya ktk biashara zao lakini Serikali sidhani kama inaitaji back up ya Clouds kama Clouds wanavyoitaji back up ya GVMT
 
Muda si mrefu utasikia taasisi na mashirika yote ya serikali kutopeleka matangazo Clouds

Pia Tamasha pendwa Fiesta litashitiswa kwa sababu za kiusalama

TRA & TCRA watakuwa wageni wa Clouds
Ngosha ni bingwa wa visasi we subiri tu tutasikia


Kwa Jina la Yesu Kristo, hili halitatokea. Nalikwamisha kabisa duniani na kwenye mbingu na anga zote. AMEN (Isaya 7.7)
 
kwahiyo mnataka kutuambia ukitaka kufanikiwa na wizi wako nikuendelea kuikumbatia ccm??
Nani kasema hivyo. Hawa wanaopiga kelele wana madudu mengi sana serikali imewastahi. Hawa akina Mange wamevumiliwa sana. Sasa unaponyea kambi ya jeshi unategemea nini? Hapa haki kwa haki. Hawa akina Gwajima wanatapa tapa tu. Wamenaswa kwenye mtego.
 
Chances never come twice au tragedy come in thrice. Hili tukio limekuja mnalaani na kulaumu na hata kuamua kuside na waliokuwa maadui wenu dhidi ya rafiki yenu. Rafiki wa kweli ni yule anayesimama na nyinyi wakati wa shida.

Sio siri mlikuwa mnakabiliwa na ushindani mkubwa sana kibiashara na mlishaanza kupotea, lakini rafiki yenu kaja na backup plan to bring u at the top of every media. Mnataka nini tena clouds! Mlimsaidia sana RC kufanikisha kazi zake sasa na yeye kawasaidia sana kuwaweka juu. Coincidence.

Mshukuru Mungu kwa kila jambo na pia hata president kawapa sana publicity toka aingie madarakani, mimi hata nilikuwa sjui 360 lakini kupitia yeye nikawa mfuatiliaji, baba wa watu mpaka kateua mtu kutoka hapo katika kipindi cha 360. Please don't mess up with him na huo ndo urafiki.

Karibuni wadau kujazia nyama
None sense, CLOUD Ikiwa sued Bashite atalipa? kwanini hawakupeleka TBC huo ujinga wao.mna post ujinga uliotukuka! Cloud wamekuwa fair hawaja sue,wametaka apology tu! ww unatumia masaburi kufikiria
 
Waache. Sasa hivi wanapiga kelele kweli. Muulize sasa Mange Kimambi wameanza kumshika kidogo kidogo. Hotel yao sasa hivi inapigwa mnada. Yaani wangekuwa na akili wangeachana na kushindana na serikali ili kufurahisha watu fulani.
Mwananchi sasa hivi wameanza kufungasha vilago baada ya kuanza kukosa matangazo.

ITV sasa hivi wameachana na hilo jambo. Wenyewe wanaendelea kulishikia bango. TRA wakiingia hapo. Itakuwa noma.

Kwa hiyo TRA na Serikali kwa ujumla wake wanafany vitu kwa kukomoana?,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom