Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
Kibonde anakifua..?? Atakiona cha mtemakuni
HAHAHAHAHAH..anajijua amekalia nyumba ya vioo alafu anamchokoza Askofu...hahahaha..ana malimao ya kutosha?
Kibonde anakifua..?? Atakiona cha mtemakuni
Kama unataka CV yake mfuate clouds sura imekukauka kma chupi LA mwajabuMwenye cv ya kibonde atujuze tafadhali,,
Hakaaa kapicha akikaonaa anajiskiajee kweli na uropokaji wake?lione bichwa kubwa akili hamna, sijui angesoma kama dada zake ingekuaje mtu ana div four ya D mbili chupuchupu awe sawa na Daudi Bashite halafu anajifanya mjuaji sn
Hiyo radio.Na li tv lao sijawahi anagalia miaka mingiLeo asubuhi Kibonde amesikika akimkashifu Askofu Gwajima Kwamba anatumia Ganja,mimi navyoona amekifanya chombo chenu hakina maadili kwa sababu yeye mwajiriwa wa Clouds media,
Kama angetaka kuweka uwanja sawa angetoa maada kwa wananchi inayohusu kutumia vyeti ambavyo siyo vyako ni kosa au la,Wananchi ndiyo wajadili sasa mwendesha kipindi mwenyewe anapoanza kukashifu inamaanisha nini?
Clouds media huyo Kibonde unawaharibia,Siamini kabisa Kama Gwajima akiamua kufungua kesi atamfungulia Kibonde peke yake,ataifungulia Clouds media kwa sababu Kibonde ni mwajiriwa wa Clouds.
Kwa ushauri tu ingekuwa bora Kibonde angemwalika Makonda kwenye hicho kipindi ndiyo atoe majibu,hata kama atamkashifu Gwajima hawezi kuwagusa Clouds kwa sababu siyo mwajiriwa wa hapo,
Mnakumbuka yule Dada aliyeleta Mashoga kwenye kipindi chake nani alilipa faini na kuambiwa muombe radhi, Kwa nini asiyambiwe yule dada. Bro Ruge hili suala liangalie kwa jicho la pili, naishia hapa Najua Gwajima hizi tarifa anazo ila mungu ampe hekima na busara Kuhusu suala hili la Kibonde.
Unatuuuliza sisi au?huyu kibonde anamjua gwajima kweli au kamfahamu jana tyu kazi anayo hapo
Chonde chonde kibonde naomba umwombe rathi gwajimaaLeo asubuhi Kibonde amesikika akimkashifu Askofu Gwajima Kwamba anatumia Ganja,mimi navyoona amekifanya chombo chenu hakina maadili kwa sababu yeye mwajiriwa wa Clouds media,
Kama angetaka kuweka uwanja sawa angetoa maada kwa wananchi inayohusu kutumia vyeti ambavyo siyo vyako ni kosa au la,Wananchi ndiyo wajadili sasa mwendesha kipindi mwenyewe anapoanza kukashifu inamaanisha nini?
Clouds media huyo Kibonde unawaharibia,Siamini kabisa Kama Gwajima akiamua kufungua kesi atamfungulia Kibonde peke yake,ataifungulia Clouds media kwa sababu Kibonde ni mwajiriwa wa Clouds.
Kwa ushauri tu ingekuwa bora Kibonde angemwalika Makonda kwenye hicho kipindi ndiyo atoe majibu,hata kama atamkashifu Gwajima hawezi kuwagusa Clouds kwa sababu siyo mwajiriwa wa hapo,
Mnakumbuka yule Dada aliyeleta Mashoga kwenye kipindi chake nani alilipa faini na kuambiwa muombe radhi, Kwa nini asiyambiwe yule dada. Bro Ruge hili suala liangalie kwa jicho la pili, naishia hapa Najua Gwajima hizi tarifa anazo ila mungu ampe hekima na busara Kuhusu suala hili la Kibonde.
Mwenye cv ya kibonde atujuze tafadhali,,
Unajua mwanawani ngoma imeshatua ndani ya nyumba?Haya unayoyashuhudia sasa lipo kazini.Gwajima hatumii ganja tu, madawa, analala na wake za watu, kawa mchawi anatuma mapepo yaende kwa mtu na Mungu asivyokuwa mnafiki, pepo likagoma, jamaa akasema liende kwa watoto wake!!
Gwajima sio mchungaji hafanani na Yesu kwa namna yeyote ile, Kibonde kamheshimu sana kusema anavuta ganja!! jamaa anatumia kila kitu sio ganja tu
kama ni mchungaji wako pole!
kama ishu ya vyeti wiki ya tatu sasa anaongea haoni aibu mkuu wa mkoa yupo
hajaweka evidence yoyote ile anaongea tu
siku ile Gwajima alipogombana na slaa alionyesha mpaka meseji!!! this time anaongea tu! ebu kueni basi...MATAPELI wanaishi kweli
hujagundua tu kuwa hata wewe unatumia bila kujua?