Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,633
Misemo ya kupeana uoga wa maishaWat goz around comes around
Misemo ya kupeana uoga wa maishaWat goz around comes around
Wanaboa matangazo kibao bora nisikilize hata TBC FMKwenye maisha siku zote kuna kupanda na kushuka na ndivyo wanavyoombea wengi yatokee hayo kwa CLOUDS FM lakini tatizo Lina kuwa kwa wapinzani wake wako mbali sana kuwafikia CLOUDS .
E-FM wapo slow sana hata baadhi ya vipindi vyao wanakosea muda sahihi wa kuvipangilia haiwezekani asubuh tu kipindi cha michezo masaa matatu hata siku haija changanya vizuri.
CLOUDS FM hawa jamaa sio kwamba mi mwenyewe nawakubali sana ila hamna mpinzani wake anayejaribu kumsogelea ukianzia upangaji wa vipindi vyao na mtiririko wa matukio na hata frequency zao zina nguvu sana zina sikika mpaka uvunguni sio hizo nyinginge ukitoka nje ya dar tu zinaanza kusumbua mpaka uiwekee Kitu juu ndo unasikia vizuri.
Na hata hao wanaoichukia CLOUDS wanajua wao ndo chanzo cha kufel mishe zao iwe business au muziki ni Jana raisi wa "TFF" ametoka kutoa ufafanuzi juu ya sakata la yanga kwenye sports extra hii inaonyesha CLOUDS inaaminika taarifa zake na ina fuatiliwa na watu wengi na hata mkuu mwenyewe anaifutilia kwa makini alishawahi kupiga simu 360.
Sawa ina Matatizo yake mengi sana ila mbadala hajapatikana wa CLOUDS kwa Tanzania bila CLOUDS aisee sijui ingekuwaje game yetu ya bongo flava .
Mnao ichukia CLOUDS unganeni mtafute mbadala wake imara la sivyo mtapata tabu sana.
Kuna wingu jeusi hasa,,ndugu wa Ruge wanaoishi nje wameanza kurejea nchini,nyuso za wafanyakazi wengi wa Clouds zinaonyesha kuna kituHizi nyimbo za Clouds - Gone for good! on Air! aisee tutegemee jambo kubwa ndani ya hizi siku mbili i smell some sad news
leo ni kama hamna kipindi chochote toka mchanaKuna wingu jeusi hasa,,ndugu wa Ruge wanaoishi nje wameanza kurejea nchini,nyuso za wafanyakazi wengi wa Clouds zinaonyesha kuna kitu
Unataka kuujulisha umma wa watanzania uliopo hapa Jf kwamba wewe akili zako ni mbovu kiasi cha kuwa tayari kushawishiwa kula mavi.Kusema tu ukweli clouds wapo vzur kuliko redio nying hapa bongo, ukiachilia mbali sifa alizowamwagia muanzisha uzi lakn clouds kwenye suala la promo kwa Tanzania hawana mpinzani. Jamaa wanaweza kusifia mpaka mavi na ukayala dah wale watu balaa.
Clouds ni moto wa kuotea mbali huwezi walinganisha na wasafi TV ambao wanarusha mubashara sherehe sijui za tiffa mara nn
Shida mkuu hutaki kukubali reality.. Clouds wameshapotea.. Na wanazid potea... Mimi nashangaa unavokua mgumu kukubali... Anyway mkuu time will tell... Nikutakie jion njema
Hao Other ndio wameongoza ila mbona mmewaweka mwishoni?Ni redio inayosikilizwa sana hasa na vijana katika miji TZ hiyo ni fact ukitaka jua hilo angalia matangazo ambayo wnayo kila kipindi. Kabla ku kupeleka matangazo redioni kampuni uwa zinafanya tathmini ya audience.
View attachment 945081
Wabongo huwa hata matokeo ya ripoti ya utafiti yasipokuwa upande wake basi wanayakataa.Tatizo waTz uwa tunapenda pingana na mambo yaliyo wazi ila ukweli utabaki kuwa ukweli. Hivi kuna chombo chochote cha habari chenye threads nyingi kama clouds humu? Achilia mbali humu hata huko kwenye social media nyingine?
Watu utasikia mimi niliacha isikiliza miaka 10 iliyopita lakini ikitokea kibonde katukana huyo mtu wa kwanza kuanzisha thread humu sa sijui habari uwa zinapatikana kwenye maono
Acha misiahara mkuu other sasa atakuaje wa kwanza wakati ni muunganiko wa viredio vyote vidogo vya kila mkoa kitongoji wilaya, mtaa yani zinaweza fila hata 500 maana niliwahi sikia TZ kuna redio sijui 1000+ sasa ukitoa hizo nyingine za juu zinazobak ndo hizo otherHao Other ndio wameongoza ila mbona mmewaweka mwishoni?
Unawachukia tu akina Masoudy, Fredwaa, George Bantu mzee wa bia. Mimi mtu ambaye uwa anaiboa ni Hassan Ngoma labda na Haris Kapinga sema sijui kwanini ananiboaga ila waliobaki personally wako poa.Their lousy and noisy fiesta show imefutiliwa mbali. Vibe kaokoteeeeee😁😁. Wanaojishaua na kuchefua Clouds fm: Masoud Kipanya, Babra Hassan, Freduaa, ka DaHu, Cotino sijui, Bantu, the Bowse sijui wa ala za roho nk. These are lousy presenters
Mkuu tulia ndio kwanza shughuli imeanza, huwezi kuamini utakachokionaKwenye maisha siku zote kuna kupanda na kushuka na ndivyo wanavyoombea wengi yatokee hayo kwa CLOUDS FM lakini tatizo Lina kuwa kwa wapinzani wake wako mbali sana kuwafikia CLOUDS .
E-FM wapo slow sana hata baadhi ya vipindi vyao wanakosea muda sahihi wa kuvipangilia haiwezekani asubuh tu kipindi cha michezo masaa matatu hata siku haija changanya vizuri.
CLOUDS FM hawa jamaa sio kwamba mi mwenyewe nawakubali sana ila hamna mpinzani wake anayejaribu kumsogelea ukianzia upangaji wa vipindi vyao na mtiririko wa matukio na hata frequency zao zina nguvu sana zina sikika mpaka uvunguni sio hizo nyinginge ukitoka nje ya dar tu zinaanza kusumbua mpaka uiwekee Kitu juu ndo unasikia vizuri.
Na hata hao wanaoichukia CLOUDS wanajua wao ndo chanzo cha kufel mishe zao iwe business au muziki ni Jana raisi wa "TFF" ametoka kutoa ufafanuzi juu ya sakata la yanga kwenye sports extra hii inaonyesha CLOUDS inaaminika taarifa zake na ina fuatiliwa na watu wengi na hata mkuu mwenyewe anaifutilia kwa makini alishawahi kupiga simu 360.
Sawa ina Matatizo yake mengi sana ila mbadala hajapatikana wa CLOUDS kwa Tanzania bila CLOUDS aisee sijui ingekuwaje game yetu ya bongo flava .
Mnao ichukia CLOUDS unganeni mtafute mbadala wake imara la sivyo mtapata tabu sana.
Ok, kumbe hata redio yetu ya FM huku Mkoani imo?Acha misiahara mkuu other sasa atakuaje wa kwanza wakati ni muunganiko wa viredio vyote vidogo vya kila mkoa kitongoji wilaya, mtaa yani zinaweza fila hata 500 maana niliwahi sikia TZ kuna redio sijui 1000+ sasa ukitoa hizo nyingine za juu zinazobak ndo hizo other
Hahaha Wapo, Redio Kaizilege, redio kapirimba zote humo humo hata zile zenye wasikilizaji 100Ok, kumbe hata redio yetu ya FM huku Mkoani imo?