Clouds FM na skendo ya ngono na wasanii wa kike

Wapelekeni dada zenu THT wakafundishwe vipaji, mnahangaika bure na hao watoto wanaovua chupi kwa tamaa zao, tena nashangaa sana mnapokimbilia THT wakati kila siku mnapita kona bar mnawakuta na wengine mna take advantage ya tamaa zao.
 
Mkuu I salute you kwa kuliona hili.
Inatisha sana siku hizi bongo kwa mtoto wa kike yaani anakuwa vulnerable na hawa sexual predators shuleni, kwenye kuomba ajira na hata akiwa ktk ajira. Inasikitisha

Way out is to empower a woman, empowering her si tu katika elimu, ni elimu ya kiwango kizuri pia kwenye kujitambua as a woman, her values, worth etc. Sina tatizo na mdada matured mwenye elimu zake aliyeamua kumpa bosi kwa whatever reason ila giving out your precious body as a woman to a man just because u think that no way out than that easy way that is uncool, na wanaume wanaotake advantage ya mazingira kuvua chupi innocent women it is uncool also. Ila kuna kitu kimoja ladies hatutaki kuumiza kichwa kutafuta solution ya mambo mengi yanayotuzunguka so short cut is to share that thing with a person u think can help, ila issue za down hazilast kama alivyotake advantage kwako he will to another woman in which u will be out so taking matters into actions by using nicely the head in thinking the way out other than body short cuts will reduce the extent of the problem
 
Aaaaaa
radio ya watuuuuuuuuuuuuuu........chupi zinawabana.....waache wavuliwe.......
 
MTM umeongea point sana....uko sahihi sana..mabadiliko ndiyo yanatakiwa yafanyike
Clouds fm is a success, and among problems of success ni attention, scrutiny etc. haya mambo ni kweli lakini they happen @every radio station na TV even zile religious....

Rather than focusing @ clouds, i would just talk of ethical and professional conducts especially in showbizz where young and vulnerable girls are used without their awareness for fame...

ukienda serikalini, makampuni binafsi hasa banks and mobile phone companies na hata majeshini this has been a default practice... if we want to stop this then a movement needs to come... VYUONI, SHULE ZA SEKONDARI ETC NDIO USISEME

SEXUALA ABUSE AND EXPLOITATION IMEKUA PART AND PARCEL OF OUR CAREER/PROFESSIONAL PATH AND IF WE WANT TO STOP THEN WE NEED TO SHOUT AND SAY NO
 
Du nimepitia sredi hii na naona kama kamdudu hakajasambaa, sijui!
Vijana soseji zenyu zitawamaliza!
 
KK Ungetuwekea na picha tuwaone hawa wasanii wanaohusishwa na ngono

imekuwa ikisemwa kwa chini chini kuwa wasanii wa kike wa tht wamekuwa wakiingia katika mkumbo wa kuliwa kama sio kumegwa na baadhi ya WATANGAZAJI NA VIONGOZI wa redio ya watusasa nimeamua kuleta suala hili jamvini tujaribu kuwataja majina wahusika hapa nikimaanisha wasanii wanaoliwa na watangazaji na vingozi wanaowala
 
ruge's list
k lin,jd,mwasit,fina,babla wengne ata nikiwatj amtowajua kwan hawakufanikiwa kutoka

joh kusaga yan mwny redio sio m2 wa madem sema msanii msanii sn

ila kuna m2 anaitwa kibonde ni balaa!!
 
Baadhi yetu ni wivu unatusumbua..!! Sidhani wengi wetu tukipata nafasi ya jinsi hiyo tunaweza kuacha kuwafanya..!!
 
ruge's list
k lin,jd,mwasit,fina,babla wengne ata nikiwatj amtowajua kwan hawakufanikiwa kutoka

joh kusaga yan mwny redio sio m2 wa madem sema msanii msanii sn

ila kuna m2 anaitwa kibonde ni balaa!!

Huyu jamaa kwenye red nilikuwa namfagilia sana zamani kabla sijaisikiliza anti-viru ya Sugu. Ila ameanza kupoteza mvuto kwangu.
 
...AND LATER MBILINYI FOOKED SHYROSE BHANJI...

i may no like clouds fm culture but mbulinyi shot himself on the foot by shagging shyrose

Presumption is that these are two consenting adults and none is trying to abuse power over the other.

Mbilinyi is an MP and Shyrose a PR executive - none is taking advantage of the other.
 
Suala la Prime Time Promotions/Clouds kuwatumia wasanii wadogo wa kike kwa ngono ni kitu serious sana. Hawa mabinti ni wadogo sana ki-umri, most of them are just teenagers. Ili wafanikiwe kimuziki, mabosi wa Prime Time Promotions na Clouds pamoja na DJs na watangazaji wao wamekuwa wakidai rushwa ya ngono kwa watoto hao wa kike. They are sexually exploiting these young girls na kuwatumia sana kwa ngono kama masharti ya kutengeneza nyimbo zao na kuzipiga kwenye redio.

.
Hili ndio tatizo la fani hizi.Siyo Tanzania tu ni dunia nzima.Uliza kinachowapata wasanii hata huko Hollywood.Occupational hazards ziko za aina nyingi siyo lazima kuangukiwa na kifusi tu!

Hata uweke code of conduct itakuwa kazi ngumu kuzuia abuse kama hii.Cha msingi ni Jamii kuona ajali hizi na kuziwekea mikakati kupunguza makali.Mzazi akiweza kumsaidia mwanaye na mambo madogo madogo huenda level ya abuse itapungua. Pia wasanii wenyewe kwa kiasi huchangia kuwa abused kwa kutokuwa na maadili mema.
 
Ila nao wanapenda vitu vya juu wakati uwezo hawana waache wamegwe!ila kwa wale wanaomegwa ili watoke pole zao ili mkumbuke kondom maana aka kaugonjwa kamesambaa sana
 
Back
Top Bottom