wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,402
Kwahiyo unatakaje?
wafungiwe ht mwezi mmoja tu, itawatosha na kielele chao.
Kwahiyo unatakaje?
Mimi nikisikia nyimbo za CCM huwa ni burudani ya uhakika kwangu.Clouds endeleeni kupiga nyimbo za CCM wengine tunaburudika barabara.Mimi ni mpenzi wa nyimbo za CCM sipendi ndombolo wala zile za kufoka foka.Nipeni raha na burudani CLOUDS naomba mpige sana nyimbo za kuburudisha za CCM HASA napenda sana ule wimbo wa NAMBARI ONE EEEEEEEE NAMBARI ONE NI CCM!
Mkuu vipindi huwa vinanunuliwa na taasisi so sio tatizo kama wamenunua,ila kwa hii clouds kile kipindi sio cha kununua,tofautisha vipindi vya warioba(vipindi maalimu,havipo timely basis) kama hiko cha clouds kila jumamosi.
Hawajifunzi kwa Juma Nature, hawajifunzi kwa akina Masanja mkandamizaji kwa kukubali kutumika na Tawala kilichowapata?
Pamoja na kujiunga na CDM Afande Sele ana maendeleo gani ya kumzidi Juma Nature au Masanja Mkandamizaji???
Umofia kwenu wana JF,
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu hiyo radio kutumikia ccm,leo nikiwa kwenye daladala,nimesikia kwa masikio yangu,clouds fm ikipiga nyimbo za kampeni za ccm kujiandaa na uchaguzi mkuu, TCRA naomba ufafaunuzi kutoka kwenu,nakumbuka Ruge mkurugenzi wa clouds alisema radio yao wameisajiri kwa malengo ya burudani,sasa iweje kwa sasa wawe wanafanya promotion live za chacha cha ccm au wameupdate leseni yao? Najua chama wanaweza wakanunua kipindi kwa ajili ya malengo ya kufikisha ujumbe katika radio yeyote lakini kile kipindi kilikuwa sio cha chama ni cha kila jumamosi.
Mimi nikisikia nyimbo za CCM huwa ni burudani ya uhakika kwangu.Clouds endeleeni kupiga nyimbo za CCM wengine tunaburudika barabara.Mimi ni mpenzi wa nyimbo za CCM sipendi ndombolo wala zile za kufoka foka.Nipeni raha na burudani CLOUDS naomba mpige sana nyimbo za kuburudisha za CCM HASA napenda sana ule wimbo wa NAMBARI ONE EEEEEEEE NAMBARI ONE NI CCM!