Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Mnamuandama sana hadi mnakera.Sasa atajifunzia wapi kama si hapo? kwani kuna aliyezaliwa anajua?
Ifike wakati tujifunze kuvumilia wengine kama nyie mnavyopenda kuvumiliwa...
Mnakera sana..mnataka akajifunzie wapi? afukuzwe kazi ili akose chakula mridhike?
Huyu dada hana shida kama mnavyojaribu kumkatisha tamaa..
Amina Ally ukikata tamaa na kuacha kufanya unachofanya itakuwa dhambi.
Ifike wakati tujifunze kuvumilia wengine kama nyie mnavyopenda kuvumiliwa...
Mnakera sana..mnataka akajifunzie wapi? afukuzwe kazi ili akose chakula mridhike?
Huyu dada hana shida kama mnavyojaribu kumkatisha tamaa..
Amina Ally ukikata tamaa na kuacha kufanya unachofanya itakuwa dhambi.
