kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,633
- 7,021
Ana uelewa mdogo na utoto mwingi mno!Kama kuna mapungufu kidogo arekebishwe kiungwana.nampa sifa ni mbunifu
Ana uelewa mdogo na utoto mwingi mno!Kama kuna mapungufu kidogo arekebishwe kiungwana.nampa sifa ni mbunifu
sure.sio fresh kabisa.Mkuu y ucngetafuta mbadalaa wa neno "manyani"
Excuse meHakajielewi kale ka asha ngedere
Siungi mkono wanaomwandama na kumsema vbya..ila labda niseme tuu kuwa..kazini sio mahara pa kujifunza kazi isipokuwa ni mahali pa kufanya kazi, kupata uzoefu na kuongeza ubunifu..hivyo ukisema ajifunzie wapi(japo siamini kama hajajifunza) hapo n dhahili hapatakuwa mahali pake...labda nishauli tuu clauds entertainment kuwa huyu ni mtangazaji mzuri kwa aina ya kipindi kinachofanania na yeye kama kile cha jmosi alichoanza nacho..ila kipindi cha AYO ni sensitive na serious kidogo..pia tone ya kipindi na tone ya millard vinaendana sana ila tone ya mdadaa haiendani na tone ya kipindi(hapo ni ki taaruma zaidi) namanisha ukimsikiliza kijana wa zamani na aina ya habari na kipindi na muda wa kipindi vinaendana..mdadaa anapaswa kukaa vipindi kama xxxxll, kile huwa sisikilizi labda niwe sina kazi nataka kucheka (leo leo tena)..ila amplifier na brkfact c vipind vya mamie huyo...namalizia..si kuwa hawezi kutangaza ni mtangazaji mzuri sana sana kwa aina ya vipindi vyake kama ujasiriamali na vijana vijana..hapo n bect..ila kule ningeshauli mtoeni mana mie n msikilizaji mzuri wa kipindi hicho sasa sikuhizi na hivi kijana wa zamani yupo USA nimepunguza kiukweli usikilizaji..MSIMTOE KAZINI NI MIONGONI MWA WATANGAZAJI BORA WA KIKE KWA VIPINDI VYA AINA YA VIJANA.. Ila sio serious information session.. Uko vzr mamaaMnamuandama sana hadi mnakera.Sasa atajifunzia wapi kama si hapo? kwani kuna aliyezaliwa anajua?
Ifike wakati tujifunze kuvumilia wengine kama nyie mnavyopenda kuvumiliwa...
Mnakera sana..mnataka akajifunzie wapi? afukuzwe kazi ili akose chakula mridhike?
Huyu dada hana shida kama mnavyojaribu kumkatisha tamaa..
Amina Ally ukikata tamaa na kuacha kufanya unachofanya itakuwa dhambi.
Hv ayo hajapga kweli ? maana huwa siwaelewi elewi #maendeleo hayana chamaKwa kweli huyu binti sio kwamba watu wanamuonea, anatakiwa kujirekebisha kidogo kwenye uendeshaji wa hicho kipindi. Anazidisha jokes mpaka anaboa sijui ni utoto! wakati mwingine Millard Ayo huwa anajaribu kumcontrol lakini wapi!
Kwa kweli UMENENA VIZURI SANA huyu Dada pia amemwaribu Millard Ayo kipindi ni kibovu kweli kweli, hata sasa hivi Millard akiwa peke yake bado athari za huyu anaejiita Meena Ally zinamkumba UONGOZI badilisheni hawa watu !!!Kwa kweli kilipokuwa kimefika kipindi na Millard Ayo,na sasa hasa anapokuwa hayupo Millard kweli,kabisa hajiwezi kabisa, kwanza hana ueledi mpana wa mambo, pia hajui wapi awe serious ama wapi awe ki-entertainment zaidi,
kama mnalazimika kuwa naye mpeni fair feedback msifariji ana haribu na nyie mtakuwa kama hamjitambui kuto mkosoa uandishi ni kukosoana ili kuboresha. Mawazo yangu kwa nia njema ya kujenga kama shabiki pia wa kipindi hicho.
Mina awekwe xxl, naona km yule sister wa xxl kapoa, alafu hando kuondoka pb Kama imepwaya fulani hivi, anyway Clouds bado wanavibeKipindi cha amplifaya kinafaa watu kama.
1.Askofu TZA.
2.Musa husein.
3.Maiko lukindo a.k.a Informer
Mina Ali anachemka sana hadi anaboa.
Hv ayo hajapga kweli ? maana huwa siwaelewi elewi #maendeleo hayana chama



ila kweli na yale meno yakeHakajielewi kale ka asha ngedere