mna lalamika nini sasa kwani redio ndo hiyo tu?redio ya hovyo hiyo kwa walio dar mbona radio kibao?au mnapenda kusikiliza akina hando wanavyotukana watu na kutetea mashoga wenzao
kuna kile kipindi cha milard ayo ni fully matangazo,kilishaniboa siku nyingi
Hivi Mbeya iko Malawi au Zambia??
power breakfast ndio balaa. matangazo kipindi kizima