Adlo
Senior Member
- Jul 15, 2022
- 197
- 238
Habari Wana jukwaa kwenda na mada twajwa happy juu, Ani clouds FM wanazidi kuliharibu taifa na kutengeneza taifa la wavivu wanaoamini katika shortcut, watu wanazidi kuamini katika ku download hela.
Nimeshangaa kusikia Hadi Joseph kusaga (CEO ) Nate kupita na fursa mala toa buku kwenye happy birthday ya boss Joe akupeleke Dubai wizi mtupu.
Mamlaka husika ingilieni Kati maana Kila media imeanzisha taifa linateketea hasa vijana hizi redio betting no hatari watu wanazidi kuamini katika ku download hela na kupuuzia kazi, hakuna ela ya bure jamani tufanye kazi.
Clouds kwanzia saa kumi na mbili mpka saa sits usiku ni kamali tu, hadi nimeacha na kusikiliza redio ni kero,Naomba kuwasilisha karibuni kwa michango shukrani
Nimeshangaa kusikia Hadi Joseph kusaga (CEO ) Nate kupita na fursa mala toa buku kwenye happy birthday ya boss Joe akupeleke Dubai wizi mtupu.
Mamlaka husika ingilieni Kati maana Kila media imeanzisha taifa linateketea hasa vijana hizi redio betting no hatari watu wanazidi kuamini katika ku download hela na kupuuzia kazi, hakuna ela ya bure jamani tufanye kazi.
Clouds kwanzia saa kumi na mbili mpka saa sits usiku ni kamali tu, hadi nimeacha na kusikiliza redio ni kero,Naomba kuwasilisha karibuni kwa michango shukrani