mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
radio ya wafuuuuuu
Tatizo lao wanafikiri baba Rizi ndo anaingia madarakani, hawajagutuka kuwa ndo kashamaliza.Wadau, kuna tangazo moja linazungumzia watu na timu zao katika siasa, ambapo utakua unapokea updates juu ya wagombea wako wa urais kupitia simu yako ya Whatsapp.
Katika tangazo hilo, Magufuli anasikika akisema eti kiongozi makini anatoka ndani ya CCM, huku Lowassa anasema tu eti Peopleeez.!
Hivi hapa kuna nini? Kama siyo kumpigia kampeni fundi gereji? Au nyie wadau mnasemaje?
Wakuu Radio CloudsFM ina promo ya tangazo lao la kipindi chao kipya kuhusu siasa kuelekea uchaguzi mkuu.
Kwenye tangazo lao la kipindi hicho kipya wameweka sauti ya Magufuli akiongea kwa zaidi ya sekunde kumi akisema "maendeleo ya kweli yatatoka kwenye kiongozi anayetoka CCM"
Alafu naweka sauti ya Lowassa anasema "Peopleees zungusha zungusha"
Moya kwa moja promo hii ni kampeni ya kwa CCM maana mgombea wake ana nadi sera za chama au kujipigia debe, kama wako huru na siyo kampeni kwa ccm , walipaswa kuweka sauti ya Magufuli akisema "CCM oyeee" ili kuendana na anachozungumza Lowassa kwani Lowassa anatoa salamu ya chama na Magufuli ana nadi sera za chama.
Hili ndilo bao la mkono alilosema Nape.