Clouds ni media kipuuzi sana.
Hivi hii redio bado ina wasikilizaji?
Wanajishushia hadhi sana,Kampuni kubwa kuwa na beef na msanii? Ni Kichekesho sana.
Hivi clouds fm ni kitu gani hicho!?
nshamalizana nao hawa, wajinga sana, hii sio mara ya kwanza, siwapi audience yangu.
Clouds FM wajinga sana...!! Nawachukia mpaka basi..
Ni takataka fulani hivi ya makelele
Mnapata wapi muda ya kusikiliza radio ya wapuuzi wa design hii??
bahati mbaya hata sisikilizi redio
hii ndio bora radio fm na sio radio bora
Wananikera sauti zao hasahasa hicho kipindi, wanajifanya sauti za kidhungu
Hivi hii redio bado ipo hewani?
Mtu mwerevu mwenye akili zake timamu hawez kuiskiliza clouds wala kuitizama.. Cause imejaa mitoto ya uswaz iliyokosa nizamu
Hawa Wafu Fm kiboko yao Sugu tuu.
Hofu yangu ni kwamba, wote nyinyi na wengine kama nyinyi mchango wenu ni sawa na tone la maji kwenye bahari! Si tu kwamba mnajifanya hamuisikilizi wakati mnaisikiliza lakini hata msipoisikiliza, effect take is almost negligible coz', wakati nyie mnajidai hamuisikilizi, there're millions outta there wanaoisikiliza including hao wasanii mnaojifanya kuwatetea!! By the way, Clouds FM ni nini hasa?
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu (kati) pamoja na Mkurugenzi wa Mradi wa Superbrands Afrika Mashariki, Bw Jawad Jaffer kwa pamoja wakimkabidhi cheti Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group,Bwa.Joseph Kusaga kwa
Clouds Fm redio kuibuka na tuzo hiyo ya ubora kwa mara ya tatu mfululizo. Tukio hilo lilifanyika hivi karibuni katika hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.
So what is "Superbrands"?
According to (
Superbrands - Wikipedia, the free encyclopedia) The Superbrands organization is an independent arbiter on branding.
Its membership programmes pay tribute to the world's leading brands, as selected by experts and consumers. The organization also publishes a series of brand-focused books and publications. Superbrands has launched its programs in many key global markets and has publications in over 86 countries.
Background
Superbrands was founded by advertising executive Marcel Knobil in London in 1994. It began as a radio show on GLR (now BBC Radio London), which was aimed at giving ordinary customers an insight into the significant brands that touched their lives.
Due to the success of the show, the Superbrands organization was founded in 1995.
In each country that it operates, it aims to identify brands that perform above and beyond other brands within their respective markets. To facilitate this, each country has an independent and voluntary council, which is made up of notable experts in the branding and marketing communication industry as well as experts from local and international blue-chip organizations. Brands that are rated highly by both the council and consumers are eligible for inclusion in a Superbrands project. Step 1 Study: an independent study elects the strongest brands of the country called Superbrands. Step 2 Reward and Knowledge; Superbrands Seal of Excellence, The Superbrands book. In some countries they also hold seminars and Awards ceremonies.
What is Superbrands and why it is important
Superbrands has launched programmes in over 88 countries including all the key global markets. These programmes aim to identify those brands that are performing above and beyond others within the market. At the heart of each programme is an independent and voluntary council of leading experts comprising individuals with a deep appreciation of the "brandscape" in the country being examined.
The council comprises luminaries from the marketing and communication industries plus notable figures from local and international blue chip companies and media organisations. Only those brands highly rated by the council are invited to join the Superbrands project. Each country has its own local panel to ensure that only the most deserving of brands attain the credential and feature in the project. More http://superbrandseastafrica.com/about-us/
Top 20 Best Radio Stations In Africa
Even with the invention of the television, radios have remained a vital part of our lives – imagine driving your car without the stereo on. What makes the radio still important is the quality of stations, programs, and presenters that we listen to. Africa has thousands, if not running into millions, radio station all across it. Trying to sift through these numbers to list out 20 best radio stations is no small feat.
Having a best radio station is subject to preference, so to avoid having a bias list; we randomly select the top radio stations all over Africa. In no particular order, here are the best radio stations in Africa.
1. Radio Citizen FM – FM 106.7, Kenya
2. Peace FM – FM 104.3, Ghana
3. Nile FM – FM 104.2, Egypt
4. Sheger FM – FM 102.1, Ethiopia
5. Breeze FM – FM 99.6, Zambia
6. Rhythm FM – FM 97.3, Nigeria
7. Clouds FM – 88.5 FM, Tanzania
8. Radio Simba – 97.3 FM, Uganda
9. Ukhozi FM – 90.8 – 107.4 FM, South Africa
10. Radio Wave FM – 96.7 FM, Namibia
11. Chada FM – 100.8 FM, Morocco
12. Radio Tiemeni Siantou – 90.5 FM, Cameroon
13. ZiFM Stereo – 106.4 FM, Zimbabwe
14. Radio Vaovao Mahasoa – 106.8 FM, Madagascar
15. Canal A FM – 96.5 FM, Angola
16. Metro FM – 92.4 FM, South Africa
17. Okay FM – 101.7 FM, Ghana
18. Star FM – 96.6 FM, Gambia
19. Wazobia FM – 95.1 FM, Nigeria
20. SaFM – 107.1 FM, South Africa
See More
Top 20 Best Radio Stations in Africa. | Network Africa
Niishie tu kusema kwamba, uwepo wenu unatambulika lakini ndio hivyo tena, hamna effect yoyote kwa Clouds FM