Clouds 360: Askofu Lyimo alikosea kuuliza swali la kisiasa ( kuhusu demokrasia) kwenye mkutano wa kidini na Rais Magufuli

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,976
Mtangazaji Hassan Ngoma wa Clouds tv amesema Askofu Lyimo hakuwa sahihi kuuliza swali linalohusu mikutano ya siasa kwenye kikao cha viongozi wa dini na Rais Magufuli. Ngoma wa mkutano ule ulihusu mambo ya kiimani ( kiroho) siyo siasa.

Ngoma ameuliza ikiwa viongozi wa dini watauliza mambo ya kisiasa siku sana watakapokutana na Rais Magufuli waulize maswali gani?

Clouds 360 iliwakilishwa na Sam Sasali katika mkutano huo ambaye amedai alipewa jukumu la kukaribisha wageni na kuwaelekeza sehemu ya kwenda kukaa.

Asubuhi njema
Maendeleo hayana vyama!
 
Mtangazaji Hassan Ngoma wa Clouds tv amesema Askofu Lyimo hakuwa sahihi kuuliza swali linalohusu mikutano ya siasa kwenye kikao cha viongozi wa dini na Rais Magufuli. Ngoma wa mkutano ule ulihusu mambo ya kiimani ( kiroho) siyo siasa.

Ngoma ameuliza ikiwa viongozi wa dini watauliza mambo ya kisiasa siku sana watakapokutana na Rais Magufuli waulize maswali gani?

Clouds 360 iliwakilishwa na Sam Sasali katika mkutano huo ambaye amedai alipewa jukumu la kukaribisha wageni na kuwaelekeza sehemu ya kwenda kukaa.

Asubuhi njema
Maendeleo hayana vyama!
John, kuna vitu nimekutumia mbona hunijibu? Umeanza kupiga chenga!
 
Mtangazaji Hassan Ngoma wa Clouds tv amesema Askofu Lyimo hakuwa sahihi kuuliza swali linalohusu mikutano ya siasa kwenye kikao cha viongozi wa dini na Rais Magufuli. Ngoma wa mkutano ule ulihusu mambo ya kiimani ( kiroho) siyo siasa.

Ngoma ameuliza ikiwa viongozi wa dini watauliza mambo ya kisiasa siku sana watakapokutana na Rais Magufuli waulize maswali gani?

Clouds 360 iliwakilishwa na Sam Sasali katika mkutano huo ambaye amedai alipewa jukumu la kukaribisha wageni na kuwaelekeza sehemu ya kwenda kukaa.

Asubuhi njema
Maendeleo hayana vyama!
Angejua pamoja na kuongea hiyo siasa bado chadema wamewananga..chadema bwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ule ulikuwa mkutano wa dini, mbona basi kuna wengine walizungumzia viwanda, ununuzi wa ndege, mishahara, kilimo na madaraja, wengine wakashauri namna nzuri ya kufanya biashara na masuala ya elimu, au neno DEMOKRASIA tu ndilo halikutakiwa kutamkwa pale.

Wengine wakasema badala ya 'Hapa Kazi tu', imekuwa 'Hapa Kamari tu'.
 
Mtangazaji Hassan Ngoma wa Clouds tv amesema Askofu Lyimo hakuwa sahihi kuuliza swali linalohusu mikutano ya siasa kwenye kikao cha viongozi wa dini na Rais Magufuli. Ngoma wa mkutano ule ulihusu mambo ya kiimani ( kiroho) siyo siasa.

Ngoma ameuliza ikiwa viongozi wa dini watauliza mambo ya kisiasa siku sana watakapokutana na Rais Magufuli waulize maswali gani?

Clouds 360 iliwakilishwa na Sam Sasali katika mkutano huo ambaye amedai alipewa jukumu la kukaribisha wageni na kuwaelekeza sehemu ya kwenda kukaa.

Asubuhi njema
Maendeleo hayana vyama!
Tumekuchoka na huu upumbav wako wa Clouds kila siku.

JF siyo dampo
 
Wajinga Sana Ndy maana Wamepigwa doro sana
Mtangazaji Hassan Ngoma wa Clouds tv amesema Askofu Lyimo hakuwa sahihi kuuliza swali linalohusu mikutano ya siasa kwenye kikao cha viongozi wa dini na Rais Magufuli. Ngoma wa mkutano ule ulihusu mambo ya kiimani ( kiroho) siyo siasa.

Ngoma ameuliza ikiwa viongozi wa dini watauliza mambo ya kisiasa siku sana watakapokutana na Rais Magufuli waulize maswali gani?

Clouds 360 iliwakilishwa na Sam Sasali katika mkutano huo ambaye amedai alipewa jukumu la kukaribisha wageni na kuwaelekeza sehemu ya kwenda kukaa.

Asubuhi njema
Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikao kinachoongozwa na kichaa huwa hivyo Mkuu. Kichaa hastahili kuongoza chochote kile. Dikteta na mambo ya kiimani wapi na wapi!!

Kumbe ule ulikuwa mkutano wa dini, mbona basi kuna wengine walizungumzia viwanda na kilimo wengine wakashauri namna nzuri ya kufanya biashara na masuala ya elimu, au neno DEMOKRASIA tu ndilo halikutakiwa kutamkwa pale.
 
Mtangazaji Hassan Ngoma wa Clouds tv amesema Askofu Lyimo hakuwa sahihi kuuliza swali linalohusu mikutano ya siasa kwenye kikao cha viongozi wa dini na Rais Magufuli. Ngoma wa mkutano ule ulihusu mambo ya kiimani ( kiroho) siyo siasa.

Ngoma ameuliza ikiwa viongozi wa dini watauliza mambo ya kisiasa siku sana watakapokutana na Rais Magufuli waulize maswali gani?

Clouds 360 iliwakilishwa na Sam Sasali katika mkutano huo ambaye amedai alipewa jukumu la kukaribisha wageni na kuwaelekeza sehemu ya kwenda kukaa.

Asubuhi njema
Maendeleo hayana vyama!
Kwa mtizamo wake ni sawa. Hassan Ngoma ni muislam Kwanini hakushangazwa na ukimya wa viongozi hao wa dini kushindwa kuongelea hatma ya mashehe wa uamsho mbele ya Rais.au hilo kwake hakuliona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom