Clock Tower Dar yawa jalala

Clock Tower Dar yawa jalala

chakutaka

Senior Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
150
Reaction score
14
kwa wale mnaopita eneo la Clock Tower jijini Dar es Salaam, karibu na stesheni mtakuwa mmeshuhudia uchafu unaoendelea kutupwa katika mnara huo wa saa, hivi manispaa ya Ilala mko wapi, lile ni eneo ni makumbusho lakini uchafu ule mnauachia mpaka liwe dampo,. vilevile mzunguko wa kariakoo karibu na eneo la Kongo ni uchafu uchafu uchafu, manispaa hata kufagia mmeshindwa?? mnaweza nini?
 
meya kazi yake ni kubuni mradi wa kuweka masanamu tu , huyu kijana sijui ni nani alimpachika huo umeya aisee ? hajawahi kuuweza hata dk 2!
 
habari wana jamvi, hivi karibuni nilitoa angalizo humu kuhusu mnara wa saa jijini Dar es Salaam ulio karibu na Stesheni kususwa na mamlaka inayosimamia vielelezo hivi vya Taifa ikiwemo Manispaa ya ILALA, bado uchafu uliopo eneo lile haujaondolewa na panazidi kuwa dampo, jamani hili jukwaa pia litumike kuwapa watu taarifa za kufanyia kazi ikiwemo kuondoa uchafu huo unaolundikwa katikati ya jiji kila siku. HII NI AIBU KWA MEYA na maafisa wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom