USClinton, on Africa trip, visits Malawi
Hillary Rodham Clinton – Photo: AP
Hillary Rodham Clinton – Photo: AP
LILONGWE, Malawi (AP) - U.S. Secretary of State Hillary Rodham Clinton offered praise and pledged continued American support to the impoverished southern African nation of Malawi on Sunday, making a brief a stop here to visit with the country's first woman president, only the second female African head of state.
A longtime champion for women's empowerment, Clinton met Malawian President Joyce Banda in the capital of Lilongwe and encouraged her to stay on a course of economic reform to make the country more attractive to foreign investment.
mawazo yangu: Kama Tanzania wanadhani west countries ziko kwa ajili serikali dhaifu waangalie mara mbili. hapo USA wamerejesha mkopo uliokuwa umesitishwa kwa rais aliyefariki wenye thamani takribani ya US $230m. kwa tafasri hii tunaona huyu mama amekubalika katika nchi hisani na wakati huo huo IMF imetema millions US $ 157m.
huyu mama tangu apate hayo madaraka wala hajaenda safari kuomba misaada nchi za nje tofauti na rais wetu kila siku na njia kuomba misaada. sasa imefika mahali anaweza kwenda kuomba msaada Zimbabwe ili mradi kombe la ombomba lipite.
Hillary Rodham Clinton – Photo: AP
LILONGWE, Malawi (AP) - U.S. Secretary of State Hillary Rodham Clinton offered praise and pledged continued American support to the impoverished southern African nation of Malawi on Sunday, making a brief a stop here to visit with the country's first woman president, only the second female African head of state.
A longtime champion for women's empowerment, Clinton met Malawian President Joyce Banda in the capital of Lilongwe and encouraged her to stay on a course of economic reform to make the country more attractive to foreign investment.
mawazo yangu: Kama Tanzania wanadhani west countries ziko kwa ajili serikali dhaifu waangalie mara mbili. hapo USA wamerejesha mkopo uliokuwa umesitishwa kwa rais aliyefariki wenye thamani takribani ya US $230m. kwa tafasri hii tunaona huyu mama amekubalika katika nchi hisani na wakati huo huo IMF imetema millions US $ 157m.
huyu mama tangu apate hayo madaraka wala hajaenda safari kuomba misaada nchi za nje tofauti na rais wetu kila siku na njia kuomba misaada. sasa imefika mahali anaweza kwenda kuomba msaada Zimbabwe ili mradi kombe la ombomba lipite.