Fredrick Mmari
Senior Member
- Jul 8, 2013
- 144
- 37
- Thread starter
- #21
Napenda mtu ukitoa hoja uje na sababu ili ueleweke vizuri kuliko kusema tu kasoma Clinical au agriculture then ukaishia hapoNenda kasome CO ww acha kupoteza mda
Napenda mtu ukitoa hoja uje na sababu ili ueleweke vizuri kuliko kusema tu kasoma Clinical au agriculture then ukaishia hapoNenda kasome CO ww acha kupoteza mda
sio kweliiii umedanganyaaaa fuatilia vizuriiiiiMpaka sasa kwa hapa Tanzania, Diploma pekee yenye Maana, Fursa na Uhakika mkubwa Ajira ni CLINICAL OFFICER.
Kama Degree ya Agriculture General haina faida yoyote kwa sasa, Diploma yake itakuwa na nini cha maana?
Huo ndio ukweli, Kozi za Agriculture sio rahisi kujiajiri na hata kuajiriwa kwa kipindi hiki, na hata mshahara wake serikalini ni mdogo sana ukilinganisha na Afya.sio kweliiii umedanganyaaaa fuatilia vizuriiiii
binafsi yangu nmesoma kilimo na nmejiajir hukoHuo ndio ukweli, Kozi za Agriculture sio rahisi kujiajiri na hata kuajiriwa kwa kipindi hiki, na hata mshahara wake serikalini ni mdogo sana ukilinganisha na Afya.
Tuwe wa kweli hapa ili kuwasaidia wengine.
Narudia tena, haihitaji kwenda kusomea kozi ya Agriculture ili ujiajiri kwenye Kilimo. Mtu yoyote yule anaweza kuwa mkulima hata kama hukusoma kabisa.
Hongera sana.binafsi yangu nmesoma kilimo na nmejiajir huko
uyooo jamaaa wa juu apoo amekariri maishaa hajafuatilia vizurii agricatural inaendajeeebinafsi yangu nmesoma kilimo na nmejiajir huko
afisa kilimo kumiliki duka la dawa baridi za binadamu sio kujiajiri kupitia sekta ya Afya? afisa ughani wengi wameajiriwa na kujiajiri kupitia kilimo isipokua wengi hawafanyi kwa ukubwa kulinganisha na maarifa waliyo nayoMy point ni Kwamba...
1/Suala la kujiajiri ni zaidi ya Taaluma uliyosomea.
Unaweza ukajiajiri hata kama hukusoma kabisa. Hivyo tusijidanganye kwenda chuoni kusoma ili kuja kujiajiri. Wasomi wengi ni waoga na wazito sana wa kuweza kujiajiri, inahitaji kuweka usomi wako pembeni kwanza ili uweze kujiajiri.
2/Huwezi ukalinganisha uzito wa taaluma ya Afya na taaluma ya Kilimo kwenye soko la ajira ya kuajiriwa(Ajira na Mshahara). Ni rahisi sana kuajiriwa kwenye sekta yaa Afya na kulipwa vizuri zaidi kuliko sekta ya kilimo kwa sasa hapa Tanzania.
3/Wapo wahitimu wengi wa Diploma ya Clinical Officer maeneo ya Vijijini wameajiriwa na Serikali, na hapo hapo wamejiajiri kwenye Kilimo huko huko vijijini. Lakini huwezi kukuta Afisa Kilimo kaajiriwa na serikali na hapo hapo kajiajiri kwenye sekta ya Afya.
nadhani anatoa hoja kwa kuangalia rafiki zake na ndugu zake wa karibu sio in generaluyooo jamaaa wa juu apoo amekariri maishaa hajafuatilia vizurii agricatural inaendajeee
hajafanya utafiti uyooo mfano umwangalie masanja nje na comedy kawekeza kilimo na yupo vizurii balaaanadhani anatoa hoja kwa kuangalia rafiki zake na ndugu zake wa karibu sio in general
Ngoja nikujibu hoja zako hapa.afisa kilimo kumiliki duka la dawa baridi za binadamu sio kujiajiri kupitia sekta ya Afya? afisa ughani wengi wameajiriwa na kujiajiri kupitia kilimo isipokua wengi hawafanyi kwa ukubwa kulinganisha na maarifa waliyo nayo
2/hoja ya kuajiriwa kwa co na DGA ni ukweli CO wana shavu sana ila kwa kujiajiri DGA ni short cut
Nadhani unachanganya mambo hapa.hajafanya utafiti uyooo mfano umwangalie masanja nje na comedy kawekeza kilimo na yupo vizurii balaaa
sio sahihiNadhani unachanganya mambo hapa.
Kuna kujiajiri kwenye Kilimo(Jambo ambalo mtu yoyote anaweza kujiajiri huko na kufanikiwa vizuri tu) na Kusomea Fani ya Kilimo badala ya fani ya Afya ili kuja kujiajiri(Jambo ambalo ni kutokujitambua)