Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,904
Bado Mamelodi, vyura kazi mnayo mwezi huu.
Bado Mamelodi, vyura kazi mnayo mwezi huu.
Sasa simba inakujaje hapa? Mmevurugwaa vibayaa?Aliyesababisha tukafungwa ni Kibabage jinga kabisa aende Simba huko walikotuma offer. Mchezaji badala ya kukaba ananyoosha mikono Offside, wala usingekuwa unalalamika. Beki anatakiwa kukaba hadi mwisho.
Sipendi huu upuuzi wa visababu vya kijinga Tumefungwa tumefungwa! tuache kuliongelea hili swala
Mimi nasikia hasira sanasana nikikumbuka sura ya feitoto baada ya kufunga goal.
kwani halikufungwa la azizi key likakataliwaFunga na wewe hiyo offside kama ni rahisi
ndio ni clear offside,lakini ndio hivyo hata sisi yanga kuna magoli tuliwahi kupewa ambayo ni clear offside,na huo ndio mpira maana marefa ni wanadamuSema hili Goal la 2 la Azam lilikuwa Clear Offside sijui kwanini Kibendera alikaa kimya na alikuwa palepale
Mechi ya pili mfululizo azam wanaifunga yanga goli la offside,,,,mechi ya mzunguko wa kwanza ilikuwa hivi hivi
View attachment 2937654View attachment 2937655
Mkuu acha tu ya offside kuna goli mliwafunga azam lomalisa aliweka cross mpira ulikuwa umeshatoka nje ya mstari..ndio ni clear offside,lakini ndio hivyo hata sisi yanga kuna magoli tuliwahi kupewa ambayo ni clear offside,na huo ndio mpira maana marefa ni wanadamu