MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,483
- 20,432
Mchezaji wa simba Clatous Chota Chama maarufu kama tripple C, jana alikubalii kushiriki chakula cha jioni kilichoandaliwa na Manji nyumbani kwa tajiri huyo, pamoja na waalikwa wengine Manji pia aliwakaribisha viongozi wa usajili wa klabu hiyo.
Baada ya mlo huo wa usiku Chota alibadilishana mawazo na Manji pamoja na viongozi wa usajili wa klabu ya Yanga kwa muda uliokadiriwa kufika masaa matatu au zaidi, mazungumzo hayo yalikuwa ya siri sana.
Baada ya mazungumzo na chakula hicho,Manji alimrudisha Chama nyumbani kwake .
Baada ya mlo huo wa usiku Chota alibadilishana mawazo na Manji pamoja na viongozi wa usajili wa klabu ya Yanga kwa muda uliokadiriwa kufika masaa matatu au zaidi, mazungumzo hayo yalikuwa ya siri sana.
Baada ya mazungumzo na chakula hicho,Manji alimrudisha Chama nyumbani kwake .