samuel faraj
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 1,326
- 1,268
Wakuu habarini za asubuhi samahani kuna mdogo wangu kachaguliwa course mbili civil engineering na mechanical engineering ipi course nzuri Kati ya hizo tu confirm moja
Wazoefu ushauri wenu unahitajika [emoji120] [emoji120]
Nb:Utani na mizaha haihitajiki kwenye uzi huu
Wazoefu ushauri wenu unahitajika [emoji120] [emoji120]
Nb:Utani na mizaha haihitajiki kwenye uzi huu