City council dar es salaam contena

City council dar es salaam contena

mdau dsm

Member
Joined
Jun 5, 2025
Posts
13
Reaction score
12
Ndugu wasomaji
Tulisikia kwamba saivi city council ya dar es salaam saivi wanahitaji mwemye contena aende ofisi za city ku fanya advance malipo ya contena kuingia mjini na wakati kwa hali hii sisi wengi tunajua hizi kazi hazina uhakika kwamba contena inatoka saa ngapi au lini kwa hiyo hii ku enda kulipa kabla ni sio vizuri kwa sisi waagizaji na ningependa tushirikiane kupeleka hio changamoto kwa haraka iwezekanavyo kwa wahusika
 
Tunaomba jamii forums ifautilie hiyo na tunaomba wahusika (city council( nao wa tusaidie zaidi na hii shida au watuelze maana yao kufanya hivyo

Asante
 
Back
Top Bottom