Hivi mtu akiuliza kitu ndo upuuzi! Sio lazima kuchangia Kama unaona una lengo la kumdiscourage mtu, Kama unajua kazi ya chupi sema Kama hujui pumzisha hizo batan za computer/ simu yako!
Inadhihirisha maumbile ya ..... kama unayo kwa usahihi wake.
Inazuia...... yasirembwendeke wakati ukitembea jambo ambalo linaweza kuwajazbisha baadhi ya watu.
Hivi mtu akiuliza kitu ndo upuuzi! Sio lazima kuchangia Kama unaona una lengo la kumdiscourage mtu, Kama unajua kazi ya chupi sema Kama hujui pumzisha hizo batan za computer/ simu yako!
Majibu tofauti tofaut ndo yamefanya niulze,.wengne wanadai chupi haina kaz yeyote,wengne ndo hvyo mnasema ina kaz nyng tu..lengo n kupata suluhisho tusiish kwa kuiga wazungu