Chupi imeleta kizaazaa

Baada ya songombingo lile ndio uhusiano ulianza,alinionea huruma sana kwa ustaarabu niliouonesha.
Nalog off
 
Hatuwez kumuuliza sifa zako mtu aliyerudi kwao kwa kuhisi unamchepukia, alafu uungwana ni vitendo hivi iyo chupi ingekua ya binti yako iko bafuni ungechukua hatua gani za haraka kwa mfano?
Ningeisuuza bila tatizo.
Nalog off
 
Hapo kazi unayo,,,,,, ww ulijuaje kuwa hiyo chupi Ni ya huyo Dada?????? Tueleze story nzima maana inaonekana mnajuana na Huyo bidada
Nimeijua ni ya huyu Dada kwa Kuwa tunaishi watatu,Mimi,your my wife na yeye,chupi za Mke wangu zote nazijua kwa Kuwa Mimi ndiye nimnunuliae,sikubali kabisa Mke wangu ajinunulie chupi. Kwahiyo ile chupi nzuri ilikuwa Ni ya huyu bint na yeye alithibitisha.
Nalog off
 
Huyo mke wako alifuata nini kwenye bafu la nje ukiwa bado unaoga?

Chai....
 
Majina mengine bhna washawasha anamjibu popobawa
Haya ndio majina mazuri ya kitanzania sio majina ya kucopy na kupaste ya wazungu na waarabu,ipende Tanzania,kipende kiswahili kwa kumwita mwanao majina ya kiswahili,usikubali kumpa mwanao jina la kizungu au kiarabu,hayana mpango.
Nalog off
 

Mwambie mkeo akaombe ushauri kwa mkuu wa wilaya ya pangani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…