MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
kitu ambacho nimeshindwa kujirekebisha kabisa kwenye ni "kinyongo" huwa nina kinyongo sana esp nijue kabisa hapa nadanganywa na nina hakika unanidanganya then hutki kuniambia ukweli bado mbishi tu na bac hapo kinyongo changu hakiishi, ukitaka kiishe niambie ukweli, eg wakati ule nilipomfumania alianza maelezo akitanguliza uongo uongo fulani kujitetea nilimshikia bango na ndio ingekuwa mwisho wetu ule lakini alivyosema ukweli roho ilitulia na kinyongo kikaisha, cpengi kudanganywa nikijua nadanganywa...kitu kingine ni "ukali" hili watu wengi esp mr huwa ananiambia mie mkali, lakini kila mwenzangu anaponiambia nipunguze cjijui naupunguzia wapi au nianzie wapi, hapa cjuagi kabisa nifanyaje....kingine ni kulalamikiwa bila sababu maalum, mr ana ile tbia kama akikucal/sms umeshindwa kujibu kwa wakati maalum bac hapo tatizo tayari, ntahicwa/shutumiwa kwa kila aina ya jambo.
Sasa mpenzi duh.............Mr ana-cope vipi na hili lako?? hasa ukali maana hilo la kinyongo ataavoid kwa kuwa mkweli but la ukali??!!