Chuo kubadili course mwaka wa pili bila taarifa

Kappwipwi

Member
Feb 20, 2022
19
5
Somo hapo juu lahusika

Naomba kujua kama kuna chuo kilishawahi kubadilisha Kozi Iliyodahili awali na mwaka wa pili wa masomo kuibadili wanafunzi wakiwa wanaendelea

Hii imetokea Tengeru Institute of Community Development-Arusha (TICD)

2020/2021 Ilidahili wanafunzi wa Bachelor Degree in Participatory Project Planning and Management (BPPM), wakasoma na kumaliza mwaka wa kwanza.

Walipoanza mwaka wa pili mwishoni mwa semester ya kwanza wakashangaa wanatambulishwa (kwenye Maombi ya Apprenticeship) kama wanafunzi wa Bachelor Degree in Project Management for Community Development (BPMCD)

Hii ilizua taharuki sana, walipofatwa uongozi walitetea hiyo PMCD ni nzuri sana sokoni kuliko hyo PPM, wanafunzi hawakuwaelewa kwan hata hawakushirikishwa kwa chochote. Matokeo yake walipoona hawaelewek wakaanza kutumia ubabe na vitisho

Lakin pia wakaja na hitimisho zingne kwa asiyeridhia afanyiwe Transfer kwenda chuo kinachotoa koz sawa na hiyo

Chakujiuliza
1. Je, huu ni utaratibu wa kawaida katika vyuo kubadili kozi kwa wanafunzi wanaoendelea na kutakiwa kusoma hiyo mpya?
2. Je, hii yakufanyia Transfer wanafunzi inawezekana kweli? (Maana wanawatega kwa majina wanaotaka hzo Transfer, cjui ndio wawaDisco).
3. Msaada wa Ushaur Namna Bora Kusolve hili Maana Kuna Walioharibiwa Future Mpaka muda huu
 
Kawaida unacho anza nacho ndio humalizia, vingivyo unakaribisha migoģoro. Kuna kipindi neno participatory lilibamba lakini nafikiri jina la sasa hivi huenda linauza zaidi. I hope wameclear na tcu na utumishi kabla vijana hawaja achwa kwenye mataa. Kule utumishi kuna kitu inaitwa lowson kama program yako haijakuwa cleared hata ukipita usaili inakutema. Hakikisheni wote tcu na utumishi wameifanyia kazi hii program. All the best 👍.
 
Kwamba mliambiwa hiyo NI NZURI SANA SOKONI, safi sana.
Haya maisha kila mtu anavutia kwake. Kiukweli hio ya kwanza ilikuwa na components mbili general management + general project planning. Hio ya pili inafocus tu kwenye management ya community development na sio kwa mambo mengine. Manake, ya kwanza, ilikuwa imecontain hii mpya.. kwa hio wame-prune degree kwa kiasi kikubwa ila sasa wanasema kuna soko.. ila wanavutia tu kwao. Very interesting indeed..
 
Haya maisha kila mtu anavutia kwake. Kiukweli hio ya kwanza ilikuwa na components mbili general management + general project planning. Hio ya pili inafocus tu kwenye management ya community development na sio kwa mambo mengine. Manake, ya kwanza, ilikuwa imecontain hii mpya.. kwa hio wame-prune degree kwa kiasi kikubwa ila sasa wanasema kuna soko.. ila wanavutia tu kwao. Very interesting indeed..
Uko vzuri broo

Hii ishawahi kutokea kweli,?

Ukiwauliza kwa nn wasianze na Fresheners wanasingizia Culculam reviewed after @5yrs,
Haiingii akilin
Wamewafire waalimu wa Project Planning bila sababu za msingi nw wanataka badili koz kwa nguvu
 
La kwanza liliCompose na Planning
La pili inaondoa Planning
Na kwa nn ukatishe mmataba wang
Me nmekuja soma Planning and Management
Wewe unaniletea Management ppekee
Mbona vyuo vingne havna huo utaratibu wakubadilisha Koz za watu,

Jina la kwanza lina shida huwezi sema planning and management while planning ipo ndani ya managament halafu hayo mambo ya participatory ni ya nn hapo kwenye title??
 
Jina la kwanza lina shida huwezi sema planning and management while planning ipo ndani ya managament halafu hayo mambo ya participatory ni ya nn hapo kwenye title??
Management co Planning
Ujue ww
Google Planning
Google Management
 
Mkuu ujue Dunia ya sasa ina ushindani. Na speciali
Somo hapo juu lahusika

Naomba kujua kama kuna chuo kilishawahi kubadilisha Kozi Iliyodahili awali na mwaka wa pili wa masomo kuibadili wanafunzi wakiwa wanaendelea

Hii imetokea Tengeru Institute of Community Development-Arusha (TICD)

2020/2021 Ilidahili wanafunzi wa Bachelor Degree in Participatory Project Planning and Management (BPPM), wakasoma na kumaliza mwaka wa kwanza.

Walipoanza mwaka wa pili mwishoni mwa semester ya kwanza wakashangaa wanatambulishwa (kwenye Maombi ya Apprenticeship) kama wanafunzi wa Bachelor Degree in Project Management for Community Development (BPMCD)

Hii ilizua taharuki sana, walipofatwa uongozi walitetea hiyo PMCD ni nzuri sana sokoni kuliko hyo PPM, wanafunzi hawakuwaelewa kwan hata hawakushirikishwa kwa chochote. Matokeo yake walipoona hawaelewek wakaanza kutumia ubabe na vitisho

Lakin pia wakaja na hitimisho zingne kwa asiyeridhia afanyiwe Transfer kwenda chuo kinachotoa koz sawa na hiyo

Chakujiuliza
1. Je, huu ni utaratibu wa kawaida katika vyuo kubadili kozi kwa wanafunzi wanaoendelea na kutakiwa kusoma hiyo mpya?
2. Je, hii yakufanyia Transfer wanafunzi inawezekana kweli? (Maana wanawatega kwa majina wanaotaka hzo Transfer, cjui ndio wawaDisco).
3. Msaada wa Ushaur Namna Bora Kusolve hili Maana Kuna Walioharibiwa Future Mpaka muda huu
Somo hapo juu lahusika

Naomba kujua kama kuna chuo kilishawahi kubadilisha Kozi Iliyodahili awali na mwaka wa pili wa masomo kuibadili wanafunzi wakiwa wanaendelea

Hii imetokea Tengeru Institute of Community Development-Arusha (TICD)

2020/2021 Ilidahili wanafunzi wa Bachelor Degree in Participatory Project Planning and Management (BPPM), wakasoma na kumaliza mwaka wa kwanza.

Walipoanza mwaka wa pili mwishoni mwa semester ya kwanza wakashangaa wanatambulishwa (kwenye Maombi ya Apprenticeship) kama wanafunzi wa Bachelor Degree in Project Management for Community Development (BPMCD)

Hii ilizua taharuki sana, walipofatwa uongozi walitetea hiyo PMCD ni nzuri sana sokoni kuliko hyo PPM, wanafunzi hawakuwaelewa kwan hata hawakushirikishwa kwa chochote. Matokeo yake walipoona hawaelewek wakaanza kutumia ubabe na vitisho

Lakin pia wakaja na hitimisho zingne kwa asiyeridhia afanyiwe Transfer kwenda chuo kinachotoa koz sawa na hiyo

Chakujiuliza
1. Je, huu ni utaratibu wa kawaida katika vyuo kubadili kozi kwa wanafunzi wanaoendelea na kutakiwa kusoma hiyo mpya?
2. Je, hii yakufanyia Transfer wanafunzi inawezekana kweli? (Maana wanawatega kwa majina wanaotaka hzo Transfer, cjui ndio wawaDisco).
3. Msaada wa Ushaur Namna Bora Kusolve hili Maana Kuna Walioharibiwa Future Mpaka muda huu
Mkuu unajua Dunia ya sasa ni ya ushindani... Na specialisation matters a lot. Hakuna chuo chenye lengo la kuwaharibia wanafunzi wake... Vyuo vinapenda wanafunzi wafanikiwe na vyenyewe vijitangaze so nafkr hayo ni matokeo ya tafiti walizofanya kweny soko la ajira Sema hawakuwaelewesha vizur. Nilisomaga hapo miaka ya nyuma ilitutokea issue km hiyo. Tulidahiliwa course ya BACHELOR OF COMMUNITY DEVELOPMENT WIH BIAS OF MANAGEMENT OF COMMUNITY PROGRAMMES. Tulipofika second year km yenu ndio wakaja na huo mtaala wanaoubadilisha Sasa... Tukaambiwa vyeti vitasomeka BACHELOR OF COMMUNITY DEVELOPMENT. Tuliulizia tukajibiwa km nyie... Lkn hatukuleta sana ujuaji tukaona tuwaachie wao coz tuliamini wanajua wanachokifanya... Na kweli baada ya kuhitimu tulivyoingia makazini tuliwaelewa. "SPECIALISATION MATTERS" Wishing u all the best
 
Back
Top Bottom