Mwalimu Nyerere Memorial, pale bana wanawake wengi wamekaa kizalendo sana...
Hawana mvuto kabisa sijui kwa nini
Sema ni cha mahousegirllol! nikiwaza hicho chuo nahisi kama ni cha ma-typist secretaries wa zamani,wamama wanaovaa matenge tu! ngoja niache ushamba,niki-google
wasomi wengi ni wabaya yaani wanasura ya viatu siyo wote lakini..
Waache dada zetu wasome hilo pepo lako la ufuska likome kwa jina la bwana, wawe warembo halafu iweje?1. Ifm
2. Udom
3. Dit
4. Mzumbe
5.sua
vingine mtaniwia radhi, subirini 2015.
Waache dada zetu wasome hilo pepo lako la ufuska likome kwa jina la bwana, wawe warembo halafu iweje?
chuoni pale ni masomo na sio urembo. Kama warembo shindanisha kutoka JOLLY, BILLS, SUNCIRRO, ETC NA MADANGURO YOTE SIO WATOTO WETU TULIOWAPELEKA SHULE WAKASOME.
1. Ifm
2. Udom
3. Dit
4. Mzumbe
5.sua
vingine mtaniwia radhi, subirini 2015.
Mwalimu Nyerere Memorial, pale bana wanawake wengi wamekaa kizalendo sana...
Hawana mvuto kabisa sijui kwa nini
1. Ifm
2. Udom
3. Dit
4. Mzumbe
5.sua
vingine mtaniwia radhi, subirini 2015.
1. Ifm
2. Udom
3. __
4. Mzumbe
5.sua
vingine mtaniwia radhi, subirini 2015.