Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,018
Ndio maana ya kusomeaunajua compications za upasuaji wowote...ule...
Ndio maana ya kusomeaunajua compications za upasuaji wowote...ule...
tofali kasema ukweli.
km una div 1 ya "halali" nenda Muhas.
km umefaulu kwa kuungaunga, KCMC ndio second best.
Muhas kuchemka ni nje nje na mitihani ni ya kukomoana. bt km upo vizuri na una "moyo mgumu" unasonga, ila kuna wakati unatafuta C tu "yaishe", zile A na B za secondary itabidi uzisahau tu. na supp ndo zinakuweka sawa.
Vyuo vingine ni rather easy street. una uhakika wa kugraduate. bt muhas, unagraduate kila semester mpk shule inaisha.
hakuna chabo wala paper ku-leak.
been there, done that.
NB
Medical school haina kuremba. haijali umetoka wapi na ulifaulu vipi. Ukifika, unaanza upya, na kuchemka kupo.
so ur mental strength and a never-say-die attitude ni muhimu
Kweli kabisa Nina dogo yupo muhas final year anasema shule ngumu balaa wazee(maprofesa) wanabana kichizi.MUHAS ni chuo bora na kinatoa vichwa vya maana..failure hawaendi..na ni chuo kikongwe cha afya tangu enzi za mwalimu..hivyo vingine vyote vimekuja miaka ya karibuni...sasa je una div 1?,,, km huna nenda IMTU, KAIRUKI, BUGANDO, KCMC...na vinginevyo..na km uliiba pepa ukifika pale jihesabie disco...no vilaza
Kama MUHAS ni vichwa mbona niko nao huku internship hawana shule? Hawawezi fanya hata tasks rahisi yaani hata repair ya tear ndogo hawajui na hata shule walosoma washasahau coz shule ya medicine ni continuing.MUHAS ni chuo bora na kinatoa vichwa vya maana..failure hawaendi..na ni chuo kikongwe cha afya tangu enzi za mwalimu..hivyo vingine vyote vimekuja miaka ya karibuni...sasa je una div 1?,,, km huna nenda IMTU, KAIRUKI, BUGANDO, KCMC...na vinginevyo..na km uliiba pepa ukifika pale jihesabie disco...no vilaza
watu hamna bidii ya kusoma, wavivu kazi kuwatisha wenginetofali kasema ukweli.
km una div 1 ya "halali" nenda Muhas.
km umefaulu kwa kuungaunga, KCMC ndio second best.
Muhas kuchemka ni nje nje na mitihani ni ya kukomoana. bt km upo vizuri na una "moyo mgumu" unasonga, ila kuna wakati unatafuta C tu "yaishe", zile A na B za secondary itabidi uzisahau tu. na supp ndo zinakuweka sawa.
Vyuo vingine ni rather easy street. una uhakika wa kugraduate. bt muhas, unagraduate kila semester mpk shule inaisha.
hakuna chabo wala paper ku-leak.
been there, done that.
NB
Medical school haina kuremba. haijali umetoka wapi na ulifaulu vipi. Ukifika, unaanza upya, na kuchemka kupo.
so ur mental strength and a never-say-die attitude ni muhimu
Ulienda chuo?nmechaguliwa kcmc,md ila mpaka now sijajua lini chuo kinafunguliwa. mwenye kufahamu lini chuo kinafunguliwa naomba anijuze
Acha kudhalilisha Bugando.yote kwa yote muhas bado ni chuo kizuri hasa kwa mwanafunzi anayejituma kwa sana,sema waliokuja kuiyumbisha muhas ni kuongeza intake adi wanafunzi zaidi ya 200 wakati hakuna miundombinu ya kutosha kukabiliana na ongezeko hilo imepelekea wanafunzi kusoma kwenye manzigira magumu,the same problem imeikuta cuhas kuongeza adi 150,bila maandalizi ya kutosha ila kwa sasa wamestableze kwa kiasi fulani.
structure ya wards na hospital;mpangilio wa majengo ya hospital na ward pia ni muhimu kwa wanafunzi,majengo ya wards za kcmc na bugando ni bora zaidi,kuliko ya muhimbili yametawanyika sana.
orgaanization ya jengo kuu la hospital ya bugando(teaching hospital)limekaa kwa mpangilio mzuri sana,ward zina space ya kutosha,department zimegawanyika kwa utaratibu mzuri very similar to kcmc.
for my own view mkandarasi aliyejenga majengo ya bugando hospit was the best,lakini ndugu kumbuka elimu siyo majengo.
library sio shinda kabisa,zote ni nzuri kabisa kwa kcmc,muhas na cuhas,ingawa library ya cuhas ni ndogo lakini ina kila kitu ndani(naona cuhas wameanza kujenga complex library yenye thamani ya 4bilion,rais mkapa ni mmoja waliochangia source itv last month)
kwa upande wingi wasenoir lecture na maprofes; hapo muhas wanatisha wamejaa kama nini,kuna watu wanajiita masuper specialist muhas wamejaa kama nini,bugando nina uwakika awazidi 5,kcmc pia hawawezi zidi 10
nb cha muhimu ni commitment ya hawa watu wengine hawajitumi kabisa kutoa material.
student admissio;muhas kinabaki kuwa chuo pekee cha medicine tz kinachochukua wanafunzi wengi wenye div1 na kiasi fulani div2,na kwa miaka ya nyuma 90s ata div1 point9 kupata admission kaikuwa rahis.
cuhas utapata wachache wa div1,wengi wana div2,na wachache wana3;13,almost similar to kcmc.
hakika ukichukua wanafunzi 100 wa muhas wakasomee bugando watakuwa the best doctors ever,my point is medical student wa bugando wanashindwa kutumia advantage zilizopo kuwa the best,ni wachache walioziona hizo advantage na kuzitumia.muhas wengi wanakuwa the best kwa kujituma sana tena kwenye mazingira ambayo kwangu nayaona ni magumu sana.
ubora wa clinical deparment;almost idara zote za clinical muhas wapo vizuri,kcmc orthopedic,ENT,urlogy wapo vizuri sana, bugando=obstetric and gynecolo na inter medicine wanatisha.
ubora wa biomedica science;vyuo vyote vipo vizuri kwa biomedicalscience(masomo ya mwak1&2),ila cuhas washukuru sana muhas kuwasaidia lecturers na proffesor wakati wanaanza adi ivi sasa cuhas wamesimama imara na walimu chungu nzima(kumbuka bugando universty wakati wanaanza walikopy na kupaste kila kitu toka muhas)
all of all kufanikiwa ni juhudi binafsi,
nitarudi baade kukupa fact zaidi including intern
Kcmc baba laoUKITAKA kuwa BINGWA wa kukalili nenda MUHAS wanakalili kama formu one yaani hao kazi yao kusomaaa tu ata practical ni ndogo ila ukikutana nao wanatema madini hayo hatari ila kama unataka kuwa fiti kuhudumia basi KCMC pale ndio wapo vizuri mwanafunzi wa pale washazoea wagonjwa haTatriii yaani wakikuona tu wanajua tatizo lako utazani waganga wa kienyeji ila mi nakushauri nenda muhas maana cheti cha pale kinapendwa asha
Ubishi umeisha sasa!!
MUHAS ndio SI Unit ya Ubora wa taaluma ya udaktari Tanzania
MUHAS ina heshima yake