Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,367
- 21,055
Hapana kuna kimoja kitakuwa kipo juu zaidi ya kingineVyuo vyote vinatoa madaktari wazuri tu,so vyote ni bora kabisa
Hapana kuna kimoja kitakuwa kipo juu zaidi ya kingineVyuo vyote vinatoa madaktari wazuri tu,so vyote ni bora kabisa
Chuo chenu kipi?Usifananishe chuo chetu na mambo ya kipumbavu.
Unaakili timamu wewe...?Hapana kuna kimoja kitakuwa kipo juu zaidi ya kingine
unatania....Tz hakuna Madaktari.
Uelewa wao walifaa waitwe Assistant Medical Doctor.
Sema tu Takwimu za Mauaji kwa Makosa ya Madaktari hazitolewi nje.
Na Watz hatuna uelewa tungeisha waburuza courtini karibu wote.
Mkuu kuna hii kitu inaitwa Goitre, Opareshi utumbo, kujifungua,nk yaani vitu vidogo tu lakini mauji yake yaliyofanywa na ma doctor huwezi amini.unatania....
wewe jamaa umesoma MD?Mkuu kuna hii kitu inaitwa Goitre, Opareshi utumbo, kujifungua,nk yaani vitu vidogo tu lakini mauji yake yaliyofanywa na ma doctor huwezi amini.
Pia hii ni sababu moja wapo ya Chama cha Madaktari Kenya kuwakataa.
Level ya Assistant MD sawa. Ila sijuu Daktari Bingwa ni uongo mtupu!!
Issue siyo kusoma.wewe jamaa umesoma MD?
unajua compications za upasuaji wowote...ule...Issue siyo kusoma.
Issue hapa ni customer satisfaction.
MD wengi ni wauwaji wakubwa.
KCMCMUHAS baba yao....