Chuo kipi bora kati ya MUHAS na KCMC

mohammad_othar

JF-Expert Member
Jan 9, 2013
247
42
Nammpango wa kupiga medicine mwakani na ninependa kujua nikipi chuo bora zaidi kati ya MUHAS na KCMC
 
MUHAS ni chuo bora na kinatoa vichwa vya maana..failure hawaendi..na ni chuo kikongwe cha afya tangu enzi za mwalimu..hivyo vingine vyote vimekuja miaka ya karibuni...sasa je una div 1?,,, km huna nenda IMTU, KAIRUKI, BUGANDO, KCMC...na vinginevyo..na km uliiba pepa ukifika pale jihesabie disco...no vilaza
 
tofali kasema ukweli.
km una div 1 ya "halali" nenda Muhas.
km umefaulu kwa kuungaunga, KCMC ndio second best.
Muhas kuchemka ni nje nje na mitihani ni ya kukomoana. bt km upo vizuri na una "moyo mgumu" unasonga, ila kuna wakati unatafuta C tu "yaishe", zile A na B za secondary itabidi uzisahau tu. na supp ndo zinakuweka sawa.
Vyuo vingine ni rather easy street. una uhakika wa kugraduate. bt muhas, unagraduate kila semester mpk shule inaisha.
hakuna chabo wala paper ku-leak.
been there, done that.
NB
Medical school haina kuremba. haijali umetoka wapi na ulifaulu vipi. Ukifika, unaanza upya, na kuchemka kupo.
so ur mental strength and a never-say-die attitude ni muhimu
 
Last edited by a moderator:
muhas is the best option, but make sure you are good upstairs. kama uwezo wako kiakili ni mdogo basi wahi imtu, kcmc au kairuki huko unaweza survive
 
Ila ukitoka umeiva nomaaaa...yn ht ukienda interview sehemu burdani.....ila naona siku hizi kinajalisha ni cheti tu..so ur choice
 
Medical school ni very wide mdogo wangu,ukienda kusoma KCMC utatoka ukiwa nondo bila kusoma kwa stress,MUHAS full kumeza meza kufaulu paper zisizofuata medical criterias,nani kasema kwamba kufanya paper ngumu ambayo ni outdating material ndio kuwa nondo?....KCMC ni wababe wa practical which is the real Medicine(kumbuka sio Law ile),chaguo ni lako na kumbuka kuingia chuo kwa maksi nyingi haimaniishi elimu inayotolewa hapo ni bora,asilimia kubwa wanaonda kairuki ni div -3 lakini kipo mia bora Africa Muhas wanachukua one asilimia kubwa hata mia bora hakipo,Nenda KCMC kasome na kufanya issue zingine za Maendeleo na si kukalili vitabu tu ka MUHAS
 
Habari zenu wana jf, kwa mwenye uzoefu au aliyewahi kupitia/kusoma katika vyuo hivyo ningependa aweze kunifahamisha kwamba ni chuo kipi kati ya hivyo kina ubora kwa wanaochukua faculty ya medicine nikimaanisha huduma zinazotolewa na chuo husika mfano walimu wakutosha,library na huduma nyingine zinazohusiana na faculty hiyo.
Nategemea ushirikiano wenu, asante.
 
Walimu wa kutosha na ubora ni Muhas, ila Kcmc wanafunzi wake huwa wako exposed vizuri na wagonjwa, ingawa wana uhaba wa walimu. Mara nyingi vijana toka KCMC na hata CUHAS huwa wachapakazi sana, wakati wengi waliotoka Muhimbili huwa wamevimba vichwa.
 
Walimu wa kutosha na ubora ni Muhas, ila Kcmc wanafunzi wake huwa wako exposed vizuri na wagonjwa, ingawa wana uhaba wa walimu. Mara nyingi vijana toka KCMC na hata CUHAS huwa wachapakazi sana, wakati wengi waliotoka Muhimbili huwa wamevimba vichwa.

asante kwa ushirikiano wako mkuu
 
Walimu wa kutosha na ubora ni Muhas, ila Kcmc wanafunzi wake huwa wako exposed vizuri na wagonjwa, ingawa wana uhaba wa walimu. Mara nyingi vijana toka KCMC na hata CUHAS huwa wachapakazi sana, wakati wengi waliotoka Muhimbili huwa wamevimba vichwa.

mkuu mimi ni mwanafunzi wa kcmc hakuna uhaba wa waalimu...kuhusu exposure kwa wagonjwa ni kweli kabisa
 
mkuu mimi ni mwanafunzi wa kcmc hakuna uhaba wa waalimu...kuhusu exposure kwa wagonjwa ni kweli kabisa

sijui mnmaanisha nini maana ya exposure kwa wagojwa?ninavyoelewa exposure ni juhudi binafsi kwa mwanafunzi kwenda mawodini kupata experience kwa wagonjwa kwa kufundishwa clinical history na physical exam.
jambo lingine exposure inakuwepo kwenye hospital yenye bed capacity kubwa(idadi kubwa ya vitanda),idadi kubwa ya vitanda inaendana na uwezekano mkubwa wa kupata wagonjwa mbalimbali kujifunzia.
1 bed capacity ya muhimbili= 1150
2 bed capacity bugando=950
3 bed capacity kcmc=450
pia inategemeana na exposure inategemeana na uwepo wa walimu wa kutosha, kwa vyuo vyote hivyo wapo walimu wa kutosha,ingawa muhas zaidi lakini wengi wao wamekataa tamaa ya kufundisha tokana na maslahai duni wanaolipwa,but mfano ninavyosikia ila sina hakika cuhas ni moja ya vyuo vinalipa watumishi wake vizuri sana so kwa sasa wapo motivated kufindisha( source my classmate wangu A LEVELni mwajiriwa apo cuhas)

nitarudi baade kuendela kukupa fact
 
sijui mnmaanisha nini maana ya exposure kwa wagojwa?ninavyoelewa exposure ni juhudi binafsi kwa mwanafunzi kwenda mawodini kupata experience kwa wagonjwa kwa kufundishwa clinical history na physical exam.
jambo lingine exposure inakuwepo kwenye hospital yenye bed capacity kubwa(idadi kubwa ya vitanda),idadi kubwa ya vitanda inaendana na uwezekano mkubwa wa kupata wagonjwa mbalimbali kujifunzia.
1 bed capacity ya muhimbili= 1150
2 bed capacity bugando=950
3 bed capacity kcmc=450
pia inategemeana na exposure inategemeana na uwepo wa walimu wa kutosha, kwa vyuo vyote hivyo wapo walimu wa kutosha,ingawa muhas zaidi lakini wengi wao wamekataa tamaa ya kufundisha tokana na maslahai duni wanaolipwa,but mfano ninavyosikia ila sina hakika cuhas ni moja ya vyuo vinalipa watumishi wake vizuri sana so kwa sasa wapo motivated kufindisha( source my classmate wangu A LEVELni mwajiriwa apo cuhas)

nitarudi baade kuendela kukupa fact

yote kwa yote muhas bado ni chuo kizuri hasa kwa mwanafunzi anayejituma kwa sana,sema waliokuja kuiyumbisha muhas ni kuongeza intake adi wanafunzi zaidi ya 200 wakati hakuna miundombinu ya kutosha kukabiliana na ongezeko hilo imepelekea wanafunzi kusoma kwenye manzigira magumu,the same problem imeikuta cuhas kuongeza adi 150,bila maandalizi ya kutosha ila kwa sasa wamestableze kwa kiasi fulani.

structure ya wards na hospital;mpangilio wa majengo ya hospital na ward pia ni muhimu kwa wanafunzi,majengo ya wards za kcmc na bugando ni bora zaidi,kuliko ya muhimbili yametawanyika sana.
orgaanization ya jengo kuu la hospital ya bugando(teaching hospital)limekaa kwa mpangilio mzuri sana,ward zina space ya kutosha,department zimegawanyika kwa utaratibu mzuri very similar to kcmc.
for my own view mkandarasi aliyejenga majengo ya bugando hospit was the best,lakini ndugu kumbuka elimu siyo majengo.
library sio shinda kabisa,zote ni nzuri kabisa kwa kcmc,muhas na cuhas,ingawa library ya cuhas ni ndogo lakini ina kila kitu ndani(naona cuhas wameanza kujenga complex library yenye thamani ya 4bilion,rais mkapa ni mmoja waliochangia source itv last month)

kwa upande wingi wasenoir lecture na maprofes; hapo muhas wanatisha wamejaa kama nini,kuna watu wanajiita masuper specialist muhas wamejaa kama nini,bugando nina uwakika hawazidi 5,kcmc pia hawawezi zidi 10
nb cha muhimu ni commitment ya hawa watu wengine hawajitumi kabisa kutoa material.

student admissio;muhas kinabaki kuwa chuo pekee cha medicine tz kinachochukua wanafunzi wengi wenye div1 na kiasi fulani div2 (div2point 10)na kwa miaka ya nyuma 90s ata div1 point9 kupata admission haikuwa rahis kwa muhas.
cuhas utapata wachache wa div1,wengi wana div2,na wachache wana3;13,almost similar to kcmc.

hakika ukichukua wanafunzi 100 wa muhas wakasomee bugando watakuwa the best doctors ever,my point is medical student wa bugando wanashindwa kutumia advantage zilizopo kuwa the best,ni wachache walioziona hizo advantage na kuzitumia kuwa best doctor apa tanzania.muhas wengi wanakuwa the best kwa kujituma sana tena kwenye mazingira ambayo kwangu nayaona ni magumu sana.

ubora wa clinical deparment;almost idara zote za clinical muhas wapo vizuri,kcmc orthopedic,ENT,urlogy wapo vizuri sana, bugando=obstetric and gynecolo na inter medicine wanatisha.

ubora wa biomedica science;vyuo vyote vipo vizuri kwa biomedicalscience(masomo ya mwak1&2),ila cuhas washukuru sana muhas kuwasaidia lecturers na proffesor wakati wanaanza adi ivi sasa cuhas wamesimama imara na walimu chungu nzima(kumbuka bugando universty wakati wanaanza walikopy na kupaste kila kitu toka muhas)

all of all kufanikiwa ni juhudi binafsi,
nitarudi baade kukupa fact zaidi including intern.
 
Back
Top Bottom