Chuo kipi bora kati ya MUHAS na KCMC

Hio inakua ni yake 1 kwa 1 au ?

unaitimia through out the year then unairudisha mwisho wa mwaka unapoenda likizo ndefu,likizo zote fupi unabaki nayo,bado haijulikani kama baada ya kumaliza mwaka wa 5 unarudisha.external huwa unaweza kwenda nayo likizo hata kama ni likizo ndefu.
 
unaitimia through out the year then unairudisha mwisho wa mwaka unapoenda likizo ndefu,likizo zote fupi unabaki nayo,bado haijulikani kama baada ya kumaliza mwaka wa 5 unarudisha.external huwa unaweza kwenda nayo likizo hata kama ni likizo ndefu.

vp cuhas nao wanautaratibu huo?
 
Kama unajijua ni mwoga wa shule au mwoga wa kushindana na cream za taifa i mean wale wenye div 1(3-5) basi ni bora uende kcmc au cuhas ukashindane na mature entry ambao hua ni wengi zaidi kwenye hivyo vyuo. Kama uko vizuri accademically njoo muhas wala usisite, muhas is the best.
 
Kama unajijua ni mwoga wa shule au mwoga wa kushindana na cream za taifa i mean wale wenye div 1(3-5) basi ni bora uende kcmc au cuhas ukashindane na mature entry ambao hua ni wengi zaidi kwenye hivyo vyuo. Kama uko vizuri accademically njoo muhas wala usisite, muhas is the best.

1 za 3 - 5 siku hizi hazipo nyingi so ni bora ukasema 1 kwa ujumla ... maana sidhani kama wanachukua 2 muhas hata wakichukua basi ni chache
 
Kwanini radiologist umemuweka kwenye hilo kundi?

nimemweka radiologist kwa sababu hausiki na kumtibu mgonjwa (clinical management)moja kwa moja,kazi kubwa ya radiologist ni kuchukua na kutafsiri radiological investigation(x ray,utrasound,ct scan,mri,doppler etc).
ni ukweli kabisa radiologist ana msaada mkubwa kwa daktari katika kufika conclusion kwa baadhi ya magonjwa.
na tukumbuke radilogist mzuri ni yule mwenye degree ya kwanza as MD, then akaenda kuspecilize kwenye radiology.baada ya kuspecilize hausiki na kuchukua clinical hx+physical exam=diagnosis,then akatoa decision ya management kwa mgonjwa.

nipo tayari kusahishwa
 
Huoni tatizo? Je, unakubali kuwa radiologist hatibu wagonjwa?

kazi za hospital for sure ni kutegemeana, kuhudumia mgonjwa kunaitaji a team work,na mojawapo ni radiologist ambaye naye anahusika kutoa huduma kwa mgonjwa.

apa nilijaribu kumtofautisha radiologist na clinical specialist(obgy,surgery,intermed,paed nuerology,orthoped cardiothora etc).
daktari anachukua clinic hist+phys exam=dx,ddx,then anaweza kurequest radiological investigation kadri atakvyoona inafaa.
lakini radiologist hawezi kwenda kwa mlolongo huo,yeye part yake ni mainly medical image.
ze marcopolo ebu toa kitu,naona kama unakitu lakini upo kimya
 
ni kweli gharama ni kubwa ila service pia ni nzuri...ufundishaji mzuri,mazingira yakusomea yapo mazuri napia kila mwanafunzi wa medicine anapewa tablet na external hard disc kwaajili yakusomea na kuhifadhi materials....

ili kudefend points zako na uwonekane kweli wewe ni medical students/doctor wa ukweli jibu hoja ya ukweli
1 ufundishaji mzuri ukoje kcmc ukitofautisha na muhas na cuhas
2elezea kunagaubaga mazingira yakusomea yana nini(ni mazuri kivipi kcmc compare to muhas na cuhas?
3 unazani hoja ya kupewa external hard disc ina mashiko ya kutosha?unaweza kuwa sawa , ila elezea kwanza kwa kina.
(b) je unaamini madaktari waliosoma muhimbili miaka ya 70 na 80,wataendelea kuwa bora compare na madaktari wa miaka ya 2000s bila kujali kukua kwa science in technology in medicine?
 
kazi za hospital for sure ni kutegemeana, kuhudumia mgonjwa kunaitaji a team work,na mojawapo ni radiologist ambaye naye anahusika kutoa huduma kwa mgonjwa.

apa nilijaribu kumtofautisha radiologist na clinical specialist(obgy,surgery,intermed,paed nuerology,orthoped cardiothora etc).
daktari anachukua clinic hist+phys exam=dx,ddx,then anaweza kurequest radiological investigation kadri atakvyoona inafaa.
lakini radiologist hawezi kwenda kwa mlolongo huo,yeye part yake ni mainly medical image.
ze marcopolo ebu toa kitu,naona kama unakitu lakini upo kimya

Huyu radiologist unayemwelezea hapa ni kwa viwango vya wapi?
 
duh hapa sasa. Kwa hiyo mi naona bado sijapata jibu nikasome chuo kipi wakuu?

Mwenye kuweza kuweka summary anisaidie kwani kote na-qualify kwa maana ya kwamba nina 1 nzuri.

Nisaidieni wanaJf nataka kuwa doctor mzuri japo sijui nataka udoctor wa eneo lipi
 
duh hapa sasa. Kwa hiyo mi naona bado sijapata jibu nikasome chuo kipi wakuu?

Mwenye kuweza kuweka summary anisaidie kwani kote na-qualify kwa maana ya kwamba nina 1 nzuri.

Nisaidieni wanaJf nataka kuwa doctor mzuri japo sijui nataka udoctor wa eneo lipi

kamwe usikubali kuchagua chuo kwa maoni ya humu tu,kwani majibu mengi ni ya kiushabiki na si ya kihalisia,kumbuka tcu kwa sasa inaweza kukutupa popote pale regardless ya score yako.
kumbuka style ya kufundisha kwa waalimu wa tz inafanana,tabia za jumla wanafunzi wa tz zinafanana,ubabishaji kama vile unafanana.
cha muhimu ni kujitambua kwa mwanafunzi binafsi.
lakini kumbuka muhas ni chuo kikongwe chenye chenye uzoefu wa miaka zaidi ya 40,lakini sitaki ni kukonviece uende kwa sababu iyo. maitaji ya msingi/kitaaluma kwa degree ya kwanza(md) kwa vyuo vyote almost yanafanana kwa vyuo vyote hivyo,tofauti ni kwamba muhas ina the best student wengi compare to other

ukishamaliza md5,unaanza intern mtapangiwa kufanya intern wanafunzi mchanganyiko toka vyuo mbali mbali,apo ndipo utagundua wote kama mpo sawa(utajua hiki,mwenzako hajui hiki na najua kitu fulani)kila chuo utakuta ina vimeo na ina wazuri pia.

kuwa na ndoto ya kuspecilize usomee kitu gani,lakini nakushauri subiri kidogo angalau ufike intern,safari ya md ni ndefu yenye milima na mabonde na pia interest huweza kubadilka kulingana na mazingira.

conclusion;ukiniambia basi sasa nilazima nikuchagulie chuo cha kwenda i will favor muhas.

nakuatakia masomo mema,uje uwaudumie watz ambao hufa kwa magonjwa tena madogo kabisa.
 
Huyu radiologist unayemwelezea hapa ni kwa viwango vya wapi?

kwa viwango vya tz.
nazani internationaly (nchi zilizoendelea)radiologist anaweza kutibu kwa baadhi ya matatizo(e,g damu kuganda kwenye vein(dvt),cancer ya ini etc) lakini sina hakika kama kwa apa tz kuna hospital inafanya hivyo

conclusion;radiologist anatibu.
ze marcopolo ebu weka conclusion na some details kwa hilo
 
kwa viwango vya tz.
nazani internationaly (nchi zilizoendelea)radiologist anaweza kutibu kwa baadhi ya matatizo(e,g damu kuganda kwenye vein(dvt),cancer ya ini etc) lakini sina hakika kama kwa apa tz kuna hospital inafanya hivyo

conclusion;radiologist anatibu.
ze marcopolo ebu weka conclusion na some details kwa hilo

Sawasawa,

Radiologist or more precisely inteventional radiologist ni daktari anayetibu kwa kutumia mionzi.

Kwa strict definition ya operation radiologist anafaa kuwa grouped kama surgeon.

Traditional approach ya kuona radiology kama field ya kupiga X ray na kutoa majibu imebaki kuwa historical. Ni wakati muafaka vijana wanaoingia kwenye field wakawa na kiu ya kujua field imefika wapi katika viwango vya dunia, ili waweze kuweka malengo ya kidunia.

Kwahiyo kama mdau anataka kufanya radiology inapasa ajue kuwa radiologist anahusika na diagnosis as well as treatment.
 
Sawasawa,

Radiologist or more precisely inteventional radiologist ni daktari anayetibu kwa kutumia mionzi.

Kwa strict definition ya operation radiologist anafaa kuwa grouped kama surgeon.

Traditional approach ya kuona radiology kama field ya kupiga X ray na kutoa majibu imebaki kuwa historical. Ni wakati muafaka vijana wanaoingia kwenye field wakawa na kiu ya kujua field imefika wapi katika viwango vya dunia, ili waweze kuweka malengo ya kidunia.

Kwahiyo kama mdau anataka kufanya radiology inapasa ajue kuwa radiologist anahusika na diagnosis as well as treatment.

thanks,take home point ni apo kwenye bluu.
oh my my country tz utafika lini uko,yaani tupo nyuma miaka zaidi ya 1000 kwenye medical field.
 
nmechaguliwa kcmc,md ila mpaka now sijajua lini chuo kinafunguliwa. mwenye kufahamu lini chuo kinafunguliwa naomba anijuze
 
Wakuu hapa nilipo pana mvutano mkubwa unaendelea ,na mvutano wenyewe ni kuhusu chuo cha muhas na kcmc kipi ni chuo bora kwenye kozi ya md?

Embu toeni ufafanuzi hapa ili tumalize ubishi wetu
 
Back
Top Bottom