Chuo kikuu huria kaendelea kusajili watu wenye foundation course kusoma degree mwaka huu

MP CHACHANDU

JF-Expert Member
Dec 4, 2016
875
615
Chuo kikuu huria (open university) kimeendelea kuwasajili wanafunzi waliomaliza foundation course ambayo ni kinyume utaratibu serikali imepiga marufuku wanafunzi wa foundation course kusoma degree lakini nashangaa kuona chuo hiki kikisajili wanafunzi na kuwaibia pesa hivi Waziri wa elimu kwanini usiwajibishe hawa viongozi wa open university kuwaibia wanafunzi hawa mwaka huu utaratibu wa kujiunga na degree ulitolewa na TCU ambao ni form six na diploma lakini foundation course imeshafutwa nashangaa kuona chuo hiki pekee kikipoa wanachuo waliosoma foundation course.
 
Chuo kikuu huria (open university) kimeendelea kuwasajili wanafunzi waliomaliza foundation course ambayo ni kinyume utaratibu serikali imepiga marufuku wanafunzi wa foundation course kusoma degree lakini nashangaa kuona chuo hiki kikisajili wanafunzi na kuwaibia pesa hivi Waziri wa elimu kwanini usiwajibishe hawa viongozi wa open university kuwaibia wanafunzi hawa mwaka huu utaratibu wa kujiunga na degree ulitolewa na TCU ambao ni form six na diploma lakini foundation course imeshafutwa nashangaa kuona chuo hiki pekee kikipoa wanachuo waliosoma foundation course.

Mambo mengine yanarekebishwa kimya kimya baada ya kugundua kosa, si kila kitu wanakiri
 
Chuo kikuu huria (open university) kimeendelea kuwasajili wanafunzi waliomaliza foundation course ambayo ni kinyume utaratibu serikali imepiga marufuku wanafunzi wa foundation course kusoma degree lakini nashangaa kuona chuo hiki kikisajili wanafunzi na kuwaibia pesa hivi Waziri wa elimu kwanini usiwajibishe hawa viongozi wa open university kuwaibia wanafunzi hawa mwaka huu utaratibu wa kujiunga na degree ulitolewa na TCU ambao ni form six na diploma lakini foundation course imeshafutwa nashangaa kuona chuo hiki pekee kikipoa wanachuo waliosoma foundation course.

Kama ni kweli basi watakuwa wametoka usingizini na kufanyia haki foundation program ya OUT. Kama alivyosema mchangiaji hapo juu #3 watakuwa wameona kosa lao. Naamini kuna umuhimu wa OUT kuwa na Foundation Program-wizara ilikurupuka kuijumuisha OUT "walipopiga" marufuku foundation programs zote na kusahau nadharia ya uhuria wa OUT.
 
Chuo kikuu huria (open university) kimeendelea kuwasajili wanafunzi waliomaliza foundation course ambayo ni kinyume utaratibu serikali imepiga marufuku wanafunzi wa foundation course kusoma degree lakini nashangaa kuona chuo hiki kikisajili wanafunzi na kuwaibia pesa hivi Waziri wa elimu kwanini usiwajibishe hawa viongozi wa open university kuwaibia wanafunzi hawa mwaka huu utaratibu wa kujiunga na degree ulitolewa na TCU ambao ni form six na diploma lakini foundation course imeshafutwa nashangaa kuona chuo hiki pekee kikipoa wanachuo waliosoma foundation course.

Kabla ya kuhukumu tuwe tunafanya research kwanza

OUT wanadahili wahitimu wa foundation course wa mwaka huu kwa sababu Tangazo limetoka too late wakat wao walishafanya program hyo na walikuwa wamekwishafanya direct application chuoni.

They were given a room just for this academic year to accommodate their students.

Ndio maana kwa mwaka huu hakuna foundation course pale OUT
 
Back
Top Bottom