Chuo kikuu cha Dodoma mbona technical team hampo serious kiasi hiki?

Chuo kikuu cha Dodoma mbona technical team hampo serious kiasi hiki?

usy

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2019
Posts
209
Reaction score
164
Chuo kikuu cha Dodoma mbona technical team hampo serious kiasi hiki?
Tangu application second round imefunguliwa tarehe 21/08 mmekua hamueleweki,
mwanza server yenu ilikua chini, watu wakavumila, sasa hivi zaid ya siku NNE system yenu haitoi control namba na kila mkiulizwa mnatoa majibu mepesi " subir baada ya dk 20/ masaa 3" halafu baada ya muda huo hali inakua hivyo hivyo...

Chuo kikubwa kama udom kweli mmeshindwa kutatua hii kero au kwasababu ile technical team mmewekana kwa kujuana ndo maana wanakua hamna uwezo wa kufanyia kazi mambo madgo kama haya ??

Leo ni tarehe 26/8 mwisho ya application ni tarehe 29/08 hebu toeni tamko kama imeshindikana hawa watoto watafute vyuo vingene vya kuomba sio mnakaa tuu, kila mkipigiwa simu mnacheka Cheka tuu ... mnakera sana udom na ndo maana hiki chuo kitaendelea kutoheshimika miaka yote...

mnashindwa hata na vi college vidgo vinakua serious bhana...
 
Hawa jamaaa hawajui wanachokifanya
Chuo kikuu cha Dodoma mbona technical team hampo serious kiasi hiki?
Tangu application second round imefunguliwa tarehe 21/08 mmekua hamueleweki,
mwanza server yenu ilikua chini, watu wakavumila, sasa hivi zaid ya siku NNE system yenu haitoi control namba na kila mkiulizwa mnatoa majibu mepesi " subir baada ya dk 20/ masaa 3" halafu baada ya muda huo hali inakua hivyo hivyo...

Chuo kikubwa kama udom kweli mmeshindwa kutatua hii kero au kwasababu ile technical team mmewekana kwa kujuana ndo maana wanakua hamna uwezo wa kufanyia kazi mambo madgo kama haya ??

Leo ni tarehe 26/8 mwisho ya application ni tarehe 29/08 hebu toeni tamko kama imeshindikana hawa watoto watafute vyuo vingene vya kuomba sio mnakaa tuu, kila mkipigiwa simu mnacheka Cheka tuu ... mnakera sana udom na ndo maana hiki chuo kitaendelea kutoheshimika miaka yote...

mnashindwa hata na vi college vidgo vinakua serious bhana...
 
  • Kicheko
Reactions: usy
Wajaribu kukagua upya CV za watu wao wa IT, usije kuta wameajiri mafundi simu wa kitaa...[emoji847][emoji847]
 
  • Kicheko
Reactions: usy
A Ward level university.
Acha kashfa zako ww na mtoa mada

Udom mnaifikilia negative always ndio maana!
Hayo ni matatizo ya kiufundi tu!

Punguzeni chuki na chuo pendwa cha serikali
 
Hao watu mi wazembe mno tena wanafanya kazi kwa mazoea.

Ukianza kusoma huko ndio utajua wana uzembe kiasi gani.
 
Acha kashfa zako ww na mtoa mada

Udom mnaifikilia negative always ndio maana!
Hayo ni matatizo ya kiufundi tu!

Punguzeni chuki na chuo pendwa cha serikali
Mnaifikilia=Mnaifikiria...kumbe wasomi wa Udom hamjui hata kuandika lol!!😂😂😂😂😂
 
  • Thanks
Reactions: usy
Acha kashfa zako ww na mtoa mada

Udom mnaifikilia negative always ndio maana!
Hayo ni matatizo ya kiufundi tu!

Punguzeni chuki na chuo pendwa cha serikali
tatizo LA kiufundi dogo kiasi hicho linachukua week?? tena kwa issue ambayo deadline ni ndani ya week moja na nusu ??
hebu tuwe serious jaman
 
Niseme ukweli udom upande wa IT wabovu hasa CHSS maana SR hazifanyi kazi yani ni shida tupu sio nyie .
 
Alafu bado unachaguliwa hapo hapo kozi ya IT aaah aaah aaah pumba tupu dadek
 
  • Kicheko
Reactions: usy
Hao siwatofautushi na bugando(CUHAS) chuo hakijari wanafunzi wake Leo tarh 27 deadline tarehe 29
HAKUNA SEHEMU YA REAPPLY
alafu technical support ndo wameamua kuzima na simu kabisa ukiwapigia hawaeleki kama wa najua nafasi zimejaa wawambie mwanafunzi kuwa wasiangaike waendelee kutafuta vyuo vingine maana huku ni kupandishiana pressures bure kabisa watoto wa watu wanatembea roho juu

Kama we mfanyakazi wa Bugando toa tamko kama nafasi zimejaaa na msifungue dirisha maana inakuwa haina maana

#jali utu wa mtu
 
yaani nikiona mtu anakimbilia kusoma then nikacheki uhalisia wa kitaa mwili unasisimka kwa hasira, anyway kuwa mvumilivu mkuu.
 
halafu bado tunajiuliza kwann vyuo vya Tanzania havishiki nafasi za juu...
vyuo vina matatizo mengi sana ya kijinga,, hivi unataka kunambia hawa technical team hawaoni hizo changamoto?
uongozi wa chuo je? hizi changamoto zimekua kubwa mpaka zimeshindwa kutatuliwa ?
tuweni serious hata kwa mwezi Mmoja tuu, tutaona mabadiliko katika nchi yetu
 
Back
Top Bottom