Ngugu wanajamii, kama kuna mtu mwenye data kuhusu chuo cha ustawi wa jamii Dsm tafadhali anishushie.nahitaji kujua kuhusu kozi mbalimbali na ada zake. kama kutakuwa na prospectus au website site yao yenye taarifa hizo nijuzeni.ahsanteni
Jamani,naomben mniambie wanafunz wapya Chuo cha Ustawi 2011,wanaanza kusajiliwa lini jamani wengn 2mechoka kucubir mpaka bac.Na je inavyocemekana kwamba hakina hadh ya kupokea wanafunz wa bachelor mpaka kipatiwe ithibati mpya ni hadi wa diploma na certficate,au inakuaje?naomben mnisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.