Chuo cha sheria kinachotoa certificate

Ford89

Senior Member
Jul 31, 2011
128
15
Naomba mnifahamishe chuo cha sheria kinachotoa certificate kwa Dar es salaam ni chuo gani na kipo wapi?
 
Kitivo cha sheria cha chuo Kikuu cha Dar Es Salaam wanafundisha kozi hiyo unayotaka kusoma.
Wanatoa cheti cha sheria (Certificate in Law). Kwa habari zaidi gonga hapa.
 
Thnks,kama kuna vyuo vingine vya sheria pia naomba unitajie ili niwe na wide choice.
 
Thnks,kama kuna vyuo vingine vya sheria pia naomba unitajie ili niwe na wide choice.

Kwa Dar sina uhakika sana, may be wenzangu watakusaidia.
Kwa vyuo vilivyo nje ya Dar, kuna chuo maalum cha sheria kipo wilayani Lushoto mkoani Tanga kinaitwa IJA (Institute of Judicial Administration). Hawa wanatoa elimu ya cheti na stashahada ya sheria. Tovuti yao ni www.ija.ac.tz. Wengine ni Mzumbe University nao wanatoa elimu ya cheti na stashahada ya sheria.
 
Kwa Dar sina uhakika sana, may be wenzangu watakusaidia.
Kwa vyuo vilivyo nje ya Dar, kuna chuo maalum cha sheria kipo wilayani Lushoto mkoani Tanga kinaitwa IJA (Institute of Judicial Administration). Hawa wanatoa elimu ya cheti na stashahada ya sheria. Tovuti yao ni www.ija.ac.tz. Wengine ni Mzumbe University nao wanatoa elimu ya cheti na stashahada ya sheria.

umenisaidia pia,asante
 
azania college of management kipo karibu na richmond tower upanga magharibi mtaa wa mindu
 
Dar kuna Bagamoyo University kule kawe, Kampala International University Gongo la Mboto campus, Azania na UDSM. Nje ya Dar kuna Mzumbe cha moro, Ruco cha iringa, Ija cha lushoto, St Augustine cha mwanza, St John cha dodoma, Eckernforde cha tanga, TIKU cha mbeya.
 
Back
Top Bottom