mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Baada ya serikali ya JK kufanya maamuzi ya kuwafukaza interns 380 sasa inahaha kuwatafuta wengine na jitihada zake ni kulazimisha matokeo ya mtihani uliomalizika wiki moja iliopita ili interns wote wasambazwe kuokoa jahazi ambalo limepinduka na karibia kuzama kabisa la huduma za tiba tanganyika.
Hii imefanya senate ya chuo cha muhas kukaa mapema isivyokawaida na swali kwa serikali je hao interns atawalipaje?
Hii imefanya senate ya chuo cha muhas kukaa mapema isivyokawaida na swali kwa serikali je hao interns atawalipaje?