Chuo cha masheikh

Chuo cha masheikh

Deceiver

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2018
Posts
9,446
Reaction score
17,059
Ndugu zangu kwa nia njema kabisa naomba vilipo vyuo vya kuchukulia mafunzo ya u sheikh au hata u ustaadh au u maulamaa.
Natanguliza shukrani povu sitaki
 
Ndg yangu ni bora ustake kufukunyua hivyo vyeo vinavipatikana. Kuna mambo ya ajabu Sana. Staki maswali.
 
Ndugu zangu kwa nia njema kabisa naomba vilipo vyuo vya kuchukulia mafunzo ya u sheikh au hata u ustaadh au u maulamaa.
Natanguliza shukrani povu sitaki
Hakuna sehemu wanapo fundisha usheikh usheikh ni cheo cha heshima kwa mtu yoyote yule ustaadhi na maulamaa kama hupo dar vipo vingi sana tu kumbuka ukiwa na elimu kubwa ya dini unaitwa mwanazuoni
 
Kariri holy Quran kuanzia mwanzo had I mwisho alafu soma tafsiri al sahih
 
Hakuna sehemu wanapo fundisha usheikh usheikh ni cheo cha heshima kwa mtu yoyote yule ustaadhi na maulamaa kama hupo dar vipo vingi sana tu kumbuka ukiwa na elimu kubwa ya dini unaitwa mwanazuoni
Angalau wewe umenipa mwanga. Wengi wetu kumbe tunaitana sheikh tu bila kujua u sheikh unanunuliwa au kusomewa kumbe ni cheo cha heshma kama vile mstahiki au mhasham
 
Ndugu zangu kwa nia njema kabisa naomba vilipo vyuo vya kuchukulia mafunzo ya u sheikh au hata u ustaadh au u maulamaa.
Natanguliza shukrani povu sitaki

Hakuna chuo hicho dunia nzima.
 
Sawasawa nilikua najiuliza sana. Kama sheikh ni cheo cha kidini iweje wengi ni washenzi tu hawafuati maadili ya kidini. Kumbe hata mimi naweza kujiita sheikh Deceiver.
Nafunga mjadala
 
Back
Top Bottom