Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Ndicho chuo ambacho kinatarajiwa kutoa wataalamu wa fani ya madini nchini. Unaweza kutembelea tovuti yao HAPA Kwa miezi ya karibuni (kama siyo miaka) chuo kimejikuta kikiwa na matatizo mengi hasa yakihusiana na uwezo wake wa kuwapika wataalamu waliobobea katika fani hiyo (matatizo ya kitaaluma) na vile vile matatizo ya vyombo na nyezo mbalimbali. Katika pita pita zangu za kufungulia mwaka nimekutana na moshi ukifurukuta kutoka kwenye chuo hicho ambao unahusiana na uongozi mbovu na ukosefu wa msukumo kutoka kwa wabunge na wizara pamoja na wananchi kutokujua umuhimu wa chuo hicho.
Moshi huu umezidi na natarajia siku si nyingi tukaona moto wake kwani lile dudu tusilolipenda limepiga kambi!! More to come...
LInanifanya nijiulize - ni taasisi gani inayofanya kazi yake vizuri sana katika mfumo wa watawala waliopo?
Moshi huu umezidi na natarajia siku si nyingi tukaona moto wake kwani lile dudu tusilolipenda limepiga kambi!! More to come...
LInanifanya nijiulize - ni taasisi gani inayofanya kazi yake vizuri sana katika mfumo wa watawala waliopo?