M Mpigaji JF-Expert Member Feb 6, 2011 384 42 Feb 16, 2012 #1 Wadau hii imekaaje?Idadi kubwa ya Private candidates kwa wanaorudia mitihani kidato cha 4 au 6 huwa ni wasichana!KWA NINI?
Wadau hii imekaaje?Idadi kubwa ya Private candidates kwa wanaorudia mitihani kidato cha 4 au 6 huwa ni wasichana!KWA NINI?
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Feb 16, 2012 #2 We ni mwongo na unataka kumaanisha wao ndo wanafeli tu, jambo ambalo siyo sahihi
Ndachuwa JF-Expert Member Mar 8, 2006 6,269 4,569 Feb 16, 2012 #3 Wanapenda elimu. Wavulani si wanakimbilia hata kuosha magari?
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Feb 16, 2012 #4 Umejuaje,au na we ni mmoja wa wanao rudia hyo mitihan?
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,556 Feb 16, 2012 #5 Mpigaji said: Wadau hii imekaaje?Idadi kubwa ya Private candidates kwa wanaorudia mitihani kidato cha 4 au 6 huwa ni wasichana!KWA NINI? Click to expand... wanaogopa kuolewa mapema ndio sababu..
Mpigaji said: Wadau hii imekaaje?Idadi kubwa ya Private candidates kwa wanaorudia mitihani kidato cha 4 au 6 huwa ni wasichana!KWA NINI? Click to expand... wanaogopa kuolewa mapema ndio sababu..