Vipi ukiambiwa kumtoa mtoto wako wa kuzaa, maana kina mama na wake mnawatoa tu kama hamna uchungu, mtoto wako je? Iwapo unaweza basi unakua hauko sawa kiakili
Huo uchawi pia ili ukupe utajiri si shaka lazima upitie uchungu ambao hautakuacha mpaka unakufa au utajiri unakufa na ukajuta sana tu baadae